Kutoka Viwanja vya Mashujaa Mtwara: Kampeni ya Vua gamba, vaa gwanda yaendelea

Kweli huko ni mtwara the place of common poeple cdm tunakazi ya kuwatoa mawazo bikra
 
jamani picha ni muhimu tuwakate ngebe magamba

Mkuu Mtwara huna haja ya kuhitaji picha, ni taarifa kutoka kwa makamanda zinasema Mkutano ulikuwa nyomi tofauti na matarajio, ukizingatia jiografia na historia za wenzetu wa kule. kwa kweli watanzania wameamka siyo siri. Mkutano umeisha!
Tunasubiri Makamanda waka upload picha. Nimeongea na mwandishi wa Channel ten, ngoja nikawahi kwenye king'amuzi changu!
 
Mkuu Mungi,

Hivi huyu Marehemu Ndugu yetu 'Malaria Sugu' hapo chini kwenye picha ALIFARIKI DUNIA mwaka gani vile kabla hajazaaliwa upya na kupewa jina Ritz hivi??

Kiukweli, kujua najua kwamba ni mwishoni mwa miaka ya '70 kule ila mwaka wenyewe ndio siukumbuki kwa usahihi sana.


Ukute picha zenyewe ziko hivi:
avatar34266_4.gif
avatar34266_4.gif
avatar34266_4.gif
avatar34266_4.gif
avatar34266_4.gif
avatar34266_4.gif

avatar34266_4.gif
avatar34266_4.gif
avatar34266_4.gif
avatar34266_4.gif
avatar34266_4.gif
avatar34266_4.gif
 
Mkuu Mtwara huna haja ya kuhitaji picha, ni taarifa kutoka kwa makamanda zinasema Mkutano ulikuwa nyomi tofauti na matarajio, ukizingatia jiografia na historia za wenzetu wa kule. kwa kweli watanzania wameamka siyo siri. Mkutano umeisha!
Tunasubiri Makamanda waka upload picha. Nimeongea na mwandishi wa Channel ten, ngoja nikawahi kwenye king'amuzi changu!
Huyo mwandishi ndo ataenda ku upload picha? Mungi
 
Kibali cha mkutano kitaisha saa 12 jioni, sehemu ya tukio ni mita chache toka kituo kikuu cha Polisi Mtwara, LEO mazingira ya mkutano hayaruhusu picha za LIVE; mtaletewa baada ya saa 2 usiku; KUWENI NA SUBIRA
Asante mkuu, wasiokubali, na wanaotaka kupotosha ukweli nawapa pole sana.
 
Mkuu Mungi,

Hivi huyu Marehemu Ndugu yetu 'Malaria Sugu' hapo chini kwenye picha ALIFARIKI DUNIA mwaka gani vile kabla hajazaaliwa upya na kupewa jina Ritz hivi??

Kiukweli, kujua najua kwamba ni mwishoni mwa miaka ya '70 kule ila mwaka wenyewe ndio siukumbuki kwa usahihi sana.

kama sikosei ilikuwa februari 5 1977
 
Moja katika mambo yatakayonifanya nisilisahau tukio la kihistoria lililotokea katika viwanja vya mashujaa hapa mkoani mtwara ni pale ambapo wakati Mh. Mbowe alipokuwa nakaribia kuhitimisha hotuba yake. Jambo ambalo sikutegemea kama ingeweza kuwa na mvuto kwa maelfu ya wakazi wa Mtwara, waliohudhuria viwanjani hapa, ni mpango wa kuchangisha pesa kwa ajili kuiwezesha kampeni ya M4C. Lakini cha kustaabisha ni kuona jinsi wakazi wa mjini hapa, pamoja na ugumu wa maisha walionao, walivyokuwa wakigombania makapu yaliyokuwa yakipitishwa na makamanda ili kuichangia kampeni hii. Hali hii ni dalili tosha kwamba wakazi wa Mtwara wechosha na ukandamizwaji wa CCM, na pia ni dalili tosha inayoonyesha mapokeo mazuri ya mambo waliyoyapata toka kwa makamanda wa CDM. Napenda kuwahakikishia wana Jf kwamba mlipuko wa CDM umefunika mji mzima. Ninauhakia above reasonable doubt kwamba kampeni ya M4C itakuwa na mafanikio huku kusini kwa zaidi ya asilimia tisini (M4C: success above 90%, NO DOUBT)
 
watatupia picha za cuf kwani walikwenda kwa matumaini. Kila wakipita cuf imechimba mizizi na ccm
Mkuu usiandikekitu usichokijua. CUF huku kusini inanguvu katika wilaya moja tu, Tandahimba, labda na Tunduru kidogo. Na hii inatokana na taizo la elimu tu. Makamanda watakuwepo ukanda huu kwa siku 17 ambazo ninahakika kwa moto walioanza nao leo, msasa utakaopigwa hautakuwa na ubishi.
 
Back
Top Bottom