Kutoka Viwanja vya Mashujaa Mtwara: Kampeni ya Vua gamba, vaa gwanda yaendelea

Makamanda wote wamelowa HALI NI NGUMU hawakutegemea kuhutubia watoto wadogo waliovutiwa na vipaza sauti. CDM mwanzo mbaya ziarani KUSINI mwa nchi
 
Nyuma ya hao watoto kwa mbali inaonesha lipo kundi la watu wakiwa wanafuatilia mkutano huo.
Ulaaniwe wewe boya uliyewaita watoto pemben ili uwapge pcha ili uje utudanganye humu kuwa wao pekee walikwepo kwenye mkutano
 
Mpaka hivi sasa viongozi wa kitaifa bado hawajaingia wameingia watatu tu na jua linazama. Idadi ya watu ni ndogo na wengi wakiwa ni watoto wadogo ambao walikuwa wakikimbiza gari la P.A ambalo lilikuwa linazunguka mitaani tangu asubuhi. Picha HIZi Hapa.
Huyu mtu ni MWONGO...! Mambo ni mazuri sana wanaJF Msihofu wakuu. Nitakuja na hitimisho..!
 
Ban imetembea sana kwenye jukwaa hili. ngoja niwe mpole.
CHADEMA kuna utaratibu. Kauli ya mwenyekiti siku zote ndiyo tamko rasmi. hayo ni maneno yako, na utaendelea kupoteza muda wako kuwapotosha watu ambao hawapotosheki.
Watanzania wanaelewa kuwa CHADEMA ni chama cha wananchi wote, kwa ngazi zote.

Kauli yako hiyo na ilaaniwe na watu wote waseme Amen!!!!!

Mie pia naungana na wewe kulaani aliyesema haya meneno alaaniwe tuseme ameen!!!
 
Daaaah asieee kama zilivyochakachuliwa Jangwani siyo? Jangwani kulikuwa na watu wachache kweli lakini Chadema ni mabigwa wa kuchakachua wakaonyesha watu wamejaa sana!!!!!

Itabidi wawauzie CCM teknolojia hiyo ili nayo ipendwe pendwe tehe tehe.
Ukute picha zenyewe ziko hivi:
avatar34266_4.gif
avatar34266_4.gif
avatar34266_4.gif
avatar34266_4.gif
avatar34266_4.gif
avatar34266_4.gif

avatar34266_4.gif
avatar34266_4.gif
avatar34266_4.gif
avatar34266_4.gif
avatar34266_4.gif
avatar34266_4.gif
 
Kaka hata picha uliyoiweka inakuchoresha, acha kuruka somasoti huku una tauro....utabaki p.....bu wazi
 
Mpaka hivi sasa viongozi wa kitaifa bado hawajaingia wameingia watatu tu na jua linazama. Idadi ya watu ni ndogo na wengi wakiwa ni watoto wadogo ambao walikuwa wakikimbiza gari la P.A ambalo lilikuwa linazunguka mitaani tangu asubuhi. Picha HIZi Hapa.

Sasa hii ndo picha gani na wewe?
Umebananisha ka mguu wa chupi aisee!
 
kama mnabisha pigeni simu muulize.,au ngoja nizi-upload picha nyinge ingawa mtandao unasumbua kidogo...!
 
42 Reactions
Reply
Back
Top Bottom