Tukichoka kumpiga teke chura tutamdondoshea tofaliAzam FC wamekamia pambano mkuu
Nzima ya kwako iko nafasi ya ngapi ligi kuu?Simba ni timu mbovu sijui mwaka jana ilifikaje robo fainali klabu bingwa, hawakustahili kabisa
Goooooooooooooooooooaaal gooooooaaal
Kahata, anachakataGoooooooooooooooooooaaal gooooooaaal goooooaal..MK Maddie Kagere anaipatia Simba SC bao la kwanza kwa kichwa baada ya kupata pasi safi kutoka wa Kahata.
Simba SC 1-0 Azam FC