Hazard CFC JF-Expert Member Apr 7, 2015 16,615 38,589 Oct 23, 2019 #22 Simba a na simba b Bujibuji said: Simba inacheza na Simba ya Mbagala, zote Simba hizo Click to expand...
Simba a na simba b Bujibuji said: Simba inacheza na Simba ya Mbagala, zote Simba hizo Click to expand...
Ghazwat JF-Expert Member Oct 4, 2015 23,718 66,262 Oct 23, 2019 Thread starter #23 Simba walianza kwa kulishambulia lango la Azam FC kwa kasi nakufanukiwa kupata kona mbili mfululizo amabazo hazikuzaa matunda 05' Simba SC 0-0 Azam FC
Simba walianza kwa kulishambulia lango la Azam FC kwa kasi nakufanukiwa kupata kona mbili mfululizo amabazo hazikuzaa matunda 05' Simba SC 0-0 Azam FC
M marikiti JF-Expert Member Oct 19, 2012 2,972 909 Oct 23, 2019 #24 Bujibuji said: Simba inacheza na Simba ya Mbagala, zote Simba hizo Click to expand... thibitisha
Ghazwat JF-Expert Member Oct 4, 2015 23,718 66,262 Oct 23, 2019 Thread starter #26 Bujibuji said: Simba inacheza na Simba ya Mbagala, zote Simba hizo Click to expand... Kwahivyo Azam FC nayo ni bingwa kama ilivyo Simba SC?
Bujibuji said: Simba inacheza na Simba ya Mbagala, zote Simba hizo Click to expand... Kwahivyo Azam FC nayo ni bingwa kama ilivyo Simba SC?
Ghazwat JF-Expert Member Oct 4, 2015 23,718 66,262 Oct 23, 2019 Thread starter #27 10' Hakuna bao kwa pande zote ingawa Simba wanajaribu kulishambulia lango la Azam FC huku nao wakijibu kwa kushtukiza Simba SC 0-0 Azam FC
10' Hakuna bao kwa pande zote ingawa Simba wanajaribu kulishambulia lango la Azam FC huku nao wakijibu kwa kushtukiza Simba SC 0-0 Azam FC
Ghazwat JF-Expert Member Oct 4, 2015 23,718 66,262 Oct 23, 2019 Thread starter #28 Domayo wa Azam FC, anapewa kadi ya njano kwa mchezo mbaya..!
Ghazwat JF-Expert Member Oct 4, 2015 23,718 66,262 Oct 23, 2019 Thread starter #29 15' VPL ndani ya Uwanja wa Taifa, bado milango ni migumu, kunako dakika ya 17 Chirwa anaikosesha Azam FC kuandika bao Simba SC 0-0 Azam FC
15' VPL ndani ya Uwanja wa Taifa, bado milango ni migumu, kunako dakika ya 17 Chirwa anaikosesha Azam FC kuandika bao Simba SC 0-0 Azam FC
L Laki Si Pesa JF-Expert Member Dec 20, 2018 4,838 8,675 Oct 23, 2019 #30 Azam wameuza mechi kama kawaida yao
Ghazwat JF-Expert Member Oct 4, 2015 23,718 66,262 Oct 23, 2019 Thread starter #31 20' Wadada kwake Mahundi, lakini anafika Shamte na kuondosha hatari ile, bado milango ni migumu uwanja wa Taifa Simba SC 0-0 Azam FC
20' Wadada kwake Mahundi, lakini anafika Shamte na kuondosha hatari ile, bado milango ni migumu uwanja wa Taifa Simba SC 0-0 Azam FC
Ghazwat JF-Expert Member Oct 4, 2015 23,718 66,262 Oct 23, 2019 Thread starter #33 Yakub wa Azam FC anaunawa mpira na inakuwa faulo kuelekea lango la Azam FC, huku mpira ukiwa umesimama baada ya Yahya kupata majeraha. Inapigwa free kick kulee, mpira unaokolewa na wachezaji wa Azam FC
Yakub wa Azam FC anaunawa mpira na inakuwa faulo kuelekea lango la Azam FC, huku mpira ukiwa umesimama baada ya Yahya kupata majeraha. Inapigwa free kick kulee, mpira unaokolewa na wachezaji wa Azam FC
Ghazwat JF-Expert Member Oct 4, 2015 23,718 66,262 Oct 23, 2019 Thread starter #34 30' Kagere anakwendaaaaa, lakini mwamuzi anasema Off Side, walinzi wa Azam FC wanaimarisha lango lao kuhakikisha hakuna madhara yoyote Simba SC 0-0 Azam FC
30' Kagere anakwendaaaaa, lakini mwamuzi anasema Off Side, walinzi wa Azam FC wanaimarisha lango lao kuhakikisha hakuna madhara yoyote Simba SC 0-0 Azam FC
Ghazwat JF-Expert Member Oct 4, 2015 23,718 66,262 Oct 23, 2019 Thread starter #36 Mzamiru anakwendaaaaaa mbele ndani ya box, hatari anaangushwa ni penatiiiiii...Lakini mwamuzi anasema hakuna kitu mpira uendelee..! Ilikuwa baada ya Azam FC kulikosa lango la Simba SC
Mzamiru anakwendaaaaaa mbele ndani ya box, hatari anaangushwa ni penatiiiiii...Lakini mwamuzi anasema hakuna kitu mpira uendelee..! Ilikuwa baada ya Azam FC kulikosa lango la Simba SC
Ghazwat JF-Expert Member Oct 4, 2015 23,718 66,262 Oct 23, 2019 Thread starter #37 45' Vodacom Premier League, hakuna timu imepata bao kuelekea kuwa mapumziko. Mashambulizi na makali wa pande zote kwa dakika hizi, Azam FC wameamka baada ya kuanza kwa kusuasua
45' Vodacom Premier League, hakuna timu imepata bao kuelekea kuwa mapumziko. Mashambulizi na makali wa pande zote kwa dakika hizi, Azam FC wameamka baada ya kuanza kwa kusuasua
Ghazwat JF-Expert Member Oct 4, 2015 23,718 66,262 Oct 23, 2019 Thread starter #38 Dilungaaa anakwenda mbele sasa lakini anafanyiwa madhambi...Ni faulo kuelekea Azam FC Inapigwaaaaaa na Nyoniii, lakini inaokolewa
Dilungaaa anakwenda mbele sasa lakini anafanyiwa madhambi...Ni faulo kuelekea Azam FC Inapigwaaaaaa na Nyoniii, lakini inaokolewa
Ghazwat JF-Expert Member Oct 4, 2015 23,718 66,262 Oct 23, 2019 Thread starter #40 45+2' Muda wowote mpira utakuwa ni mapumziko kwenye mchezo huu wa VPL Ni game ngumu, mpira ukiwa unatawaliwa rafu za hapa na pale, hata hivyo mwamuzi anajitahidi kuhakikisha analimudu vema hili pambano. Naaaaaaaaaaaaaaam mpira ni mapumziko ambapo timu zinatoka bila kufungana kipindi hiki cha kwanza. Simba SC 0-0 Azam FC
45+2' Muda wowote mpira utakuwa ni mapumziko kwenye mchezo huu wa VPL Ni game ngumu, mpira ukiwa unatawaliwa rafu za hapa na pale, hata hivyo mwamuzi anajitahidi kuhakikisha analimudu vema hili pambano. Naaaaaaaaaaaaaaam mpira ni mapumziko ambapo timu zinatoka bila kufungana kipindi hiki cha kwanza. Simba SC 0-0 Azam FC