Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 46,945
- 122,211
Mara ya kwanza kuiona Simba ilikuwa kwenye mechi ya recorded enzi hizo kwenye video ilikuwa inamenyana na Enyimba ya Nigeria.Uwage unajiweka wazi mdogo wangu kwamba na wewe ni shabiki wa Mikia.
Ndio ilikuwa mara ya kwanza kuangalia mpira kwenye video/luninga, Kaseja alikuwa Fire enzi hizo.
Hadi hapo nilikongeka moyo nikaanza kuifuatilia redioni katika ligi za humu ndani.
Bila shaka nishajiweka wazi Dada yangu.