Kutoka Uhamiaji: Askofu Kakobe asisitiza yeye ni mtanzania. Ang'aka watu wa Kigoma tu kuhojiwa kuhusu uraia

Hata mie kwa mtazamo wangu binafsi tu,niliwahi kusema humu jukwaani kuwa tukianza kufukunyuana juu ya vyeti hadi vya wabibi,kuna watu hawatapona,si ajabu hata tuliyemkabidhi ofisi namba moja balaa hili likamkumba.

Usiku Mtakatifu,ule usiku wa Desemba 8 kuingia Desemba 09 1961,yoyote aliyekutwa na usiku huo akiwa katika ardhi ya Tanganyika,by the virtue of his presence in the land of Tanganyika,he/she was a bonafide citizen of Tanganyika.

Tukianza kutazamana kwa ukanda,maeneo na mikoa,hata Raia Namba Moja wa Tz yetu anaweza akaingia kwenye kundi la watu wasio "Watanzania"

Huwezi ukawa Mtanzania unashindwa kusema "Ng'ang'ania" unaishia kusema "Ngangania"....unaambiwa sema "Ng'ombe" unasema "Ngombe"....ukiambiwa sema "unapaswa" unasema "unapashwa",ukiambiwa sema "fanya" unasema "fanyizia"....

Silaha tuliyobaki nao sisi tulio na dola,ni vyombo vya ulinzi na usalama na vitisho,tumesitisha kabisa utaratibu wa kujibu hoja kwa hoja au hoja kwa vitendo
 
,"anayesema mimi si raia wa Tanzania aniambie ni raia wa nchi gani." -Zachary Kakobe.

Swali zuri sana, big up Kakobe
 
Akizungumza na waandishi wa habari Askofu Kakobe amesema raia wa Rwanda na Burundi hawawezi kutamka neno " nne" kama ipasavyo bali wanasema " INNE" hivyo ni rahisi tu kuwatambua hata kwa matamshi yao ya kiswahili. Amesema yeye anaongea kiswahili fasaha na hata baadhi ya maofisa waliomhoji hawana kiswahili kizuri kama chake. Source Ayo tv!
Hiki kigezo ni cha kishenzi sana... muha aliyekulia kijijini na kuongea kiha muda wake mwingi hawezi kutamka 'nne' hata ajifunze vipi... huu ni uonezi
 
Hata mie kwa mtazamo wangu binafsi tu,niliwahi kusema humu jukwaani kuwa tukianza kufukunyuana juu ya vyeti hadi vya wabibi,kuna watu hawatapona,si ajabu hata tuliyemkabidhi ofisi namba moja balaa hili likamkumba.

Usiku Mtakatifu,ule usiku wa Desemba 8 kuingia Desemba 09 1961,yoyote aliyekutwa na usiku huo akiwa katika ardhi ya Tanganyika,by the virtue of his presence in the land of Tanganyika,he/she was a bonafide citizen of Tanganyika.

Tukianza kutazamana kwa ukanda,maeneo na mikoa,hata Raia Namba Moja wa Tz yetu anaweza akaingia kwenye kundi la watu wasio "Watanzania"

Huwezi ukawa Mtanzania unashindwa kusema "Ng'ang'ania" unaishia kusema "Ngangania"....unaambiwa sema "Ng'ombe" unasema "Ngombe"....ukiambiwa sema "unapaswa" unasema "unapashwa",ukiambiwa sema "fanya" unasema "fanyizia"....

Silaha tuliyobaki nao sisi tulio na dola,ni vyombo vya ulinza na usalama na vitisho,tumesitisha kabisa utaratibu wa kujibu hoja kwa hoja au hoja kwa vitendo
 
Huyu ni mchochez sasa

Magufuli pia huwa anatamka INNE badala ya NNE.
Kakobe tulimtetea sana. Mimi sasa simo humo. Kiswahili FASAHA WALA Kiingereza FASAHA hakukufanyi wewe kuwa ni RAIA wa Uingereza ama Marekani.
Vyombo vya habari aviache kama anataka amani.

The more he talks ndo anazidi kujiharibia.

Nasi wengine TUTANYAMAZA. ajishughulikie yeye mwenyewe.
Huwezi KUWADHARAU watumishi wa Serikali hata kama Kiswahili chao kina lafudhi ya ya KIHA,KISUKUMA au KICHAGA. Maana Msukuma akiongea HUKAZA sana maneno .

MUHA ndo usiseme.
MCHAGA huongea kama vile anaimba.

Je utasema hawa watu hawajui nini wanacho kifanya sababu tu WEWE una Kiswahili kizuri kuliko wao??
Kakobe aache UBABE maana hautamsaidia,.
 
Kakobe tulimtetea sana. Mimi sasa simo humo. Kiswahili FASAHA WALA Kiingereza FASAHA hakukufanyi wewe ni RAIA wa Uingereza ama Marekani.
Vyombo vya habari aviache kama anataka amani.

The more he talks ndo anazidi kujiharibia.

Nasi wengine TUTANYAMAZA. ajishughulikie yeye mwenyewe.
Huwezi KUWADHARAU watumishi wa Serikali hata kama Kiswahili chao kina lafudhi ya ya KIHA,KISUKUMA au KICHAGA. Maana Msukuma akiongea HUKAZA sana maneno .

MUHA ndo usiseme.
MCHAGA huongea kama vile anaimba.

Je utasema hawa watu hawajui nini wanacho kifanya sababu tu WEWE una Kiswahili kizuri kuliko wao??
Kakobe aache UBABE maana hautamsaidia,.
Ukikaa kwenye jumba la vioo usirushe mawe.
 
Back
Top Bottom