Wewe siku ulikuwa na appointment na jamaa wa gx100 hukuvaa kikuku?mbunge unakua na vikuk miguni? hakuna kazi wanafanya hao.
hata sishangai ding wanavyomuibiaga mheshimiwa. teh teh teh
hata sishangai ding wanavyomuibiaga mheshimiwa. teh teh teh
Pigia kura wanawake
vihen(vi kuku) nawe nawe kwani hujui loh! au hata mitaani hujawai kukutana nao waliovaaMiguuni wamevaa nini?
Mimi sifagirii hao wabunge wa Vitu Maalum, ila nawafagila wadada kama huyu, mwanamke Jasiri kama huyu she have my vote with no complain!
vihen(vi kuku) nawe nawe kwani hujui loh! au hata mitaani hujawai kukutana nao waliovaa
Mimi sifagirii hao wabunge wa Vitu Maalum, ila nawafagila wadada kama huyu, mwanamke Jasiri kama huyu (she have my vote with no complain!)
Mkuu, jikite zaidi kwenye lugha ya Taifa, unaandika kingereza nyanya!