Mkuu je una mwanasheria mzuri!?
hiyo ni paspoti saizi unachotakiwa kukisema tuone mwiliwoteKwenye pita pita nikakutana na pisi kali moja nikajiuliza huyu ni nani? Kumbe ni Dr. Tulia.
View attachment 3439460
Kipindi hicho bado hajapata wadhifa mkubwa na pesa hazijaanza kuingia, alikuwa ni manzi mkali aisee.