Kutoka Maktaba; miaka ile ya 90

Kutoka Maktaba; miaka ile ya 90

Kumbe humu kuna wajukuu zetu......hiyo kitu mara ya kwanza kutumia ilikuwa mwaka 1943 wakati huo nipo midle school......

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Mwili wangu waniuama maumivu tele...
Mgongo wangu waniuma maumivu tele...

Dawa ya maumivu, dawa yenye nguvu, dawa ni DAWANOL...

... '88/'89/'90
Kulikuwa tangazo lenye kawimbo haka, kila mida jioni RTD

Top Cup,
Top Cup,
Top Cup...

Ni Kahawa ya Tanzania,
Ijaribu Leo Uone,
Ladha yake...

Dah, mmenikumbusha mbali wandugu wapenzi.
 
Miaka hiyo unafukuzia dem mwaka mzima, hata kama hujamtongoza unawapiga bit washkaji kwamba ni dem wako wasikuingilie, yaani hapo ni full usafi unajitahidi kuoga na kufua pamba ili uonekane mambo safi.
 
Kazi,kazi
Kazi,Kazi

Tufanye kazi kwa nguvu Zoteee.
Kazi ,kazi

Tujenge taifa letuu
Kazi kazi.

Baada ya kazi burudika,ni wakati wa Tusker.

Sent from my BlackBerry 9790 using JamiiForums
 
images
na hizi kwenye 60s
 
Mobitel ndio mtandao wa kwanza wa mobile ku-operate hapa bongo (Ikawa buzz then ndio tigo ya sasa). Enzi hzo hakukuwa na line cellular zlikuwa zinaitwa vimobiteli.
Mobitel lilikuwa analogi ukitaka kuweka salio uende kwenye vibanda vya mawakala wanakuwekea salio na kukuunnganisha halafu simu zote za mikononi zilikuwa zinafanana nzito nzito.

Baada ya Mobitel haikuwa tritel? ambayo ofisi zake zilikuwa karibu na maktaba! na simu zao zilkuwa ndogo sio kubwa kama za Mobitel.

Maza nilikuwa naenda nae sana ofisi za tritel alipokuwa anatumia tritel
 
Kumbe humu kuna wajukuu zetu......hiyo kitu mara ya kwanza kutumia ilikuwa mwaka 1943 wakati huo nipo midle school......

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
Kumbe bado kijana mdogo sana.

Mimi mwaka 1943 nauza shamba langu la Kariakoo enzi hizo pori tupu sio Kariakoo yenu ya sasa maghorofa ya kuanguka anguka.

Enzi zetu nyumba zilikuwa imara sana
 
Mobitel ndio mtandao wa kwanza wa mobile ku-operate hapa bongo (Ikawa buzz then ndio tigo ya sasa). Enzi hzo hakukuwa na line cellular zlikuwa zinaitwa vimobiteli.

hapana mtandao wa kwanza ulikuwa Tritel na kina Rugemalila ndo walikuwa share holders humo
 
Back
Top Bottom