Kutoka Maktaba; miaka ile ya 90

Kutoka Maktaba; miaka ile ya 90

Salamaa, chaguo la kisasa...
Salamaa, chaguo la kisasa...

Salama kondom mpyaaa
Kwa bei nafuu

Matangazo ya ITV kitambo sana
 
daah, e bwana hilo kopo la blue band umenkumbusha mbali saaaana mkuu. Lilikuwa la bati sio plastiki. Dingi alikuwa akirudi hom anakuja na maswali kibao ya skuli (hasa kuimba multiplication tables) ukishindwa huli mkate asubuhi. Nakumbuka tangazo la KIWI la mzee jangala ITV miaka ya 1996 ile.

wewe ni mmoja ya watu niliokuwa nawahitaji katika thread hii, asante kwa kumbukumbu Mkuu
 
Nakumbuka hayo makopo ya blue band na yale ya Cow boy tulikuwa na kikundi chetu cha kutengeneza magari ya makopo na yale ya waya! watoto wa kisasa ubunifu huo sijui wanao?

watoto wa siku ni play station mkuu
 
Hii sabuni siipendi ngumu sana na haina povu kabisa wazazi walikuwa wanatukomoa sabuni za watoto mnapewa dungu kubwa kama hilo hata kuishika inakuwa shuguli inabidi ikatwe vipande vinginevyo mkono wa kitoto hauwezi kuikamata yote hiyo.

Na hiyo yote sababu ya ufujaji wa sabuni za kuogea adhabu yenu Geisha.

Umenikumbusha mbali sana
 
Hii sabuni siipendi ngumu sana na haina povu kabisa wazazi walikuwa wanatukomoa sabuni za watoto mnapewa dungu kubwa kama hilo hata kuishika inakuwa shuguli inabidi ikatwe vipande vinginevyo mkono wa kitoto hauwezi kuikamata yote hiyo.

Na hiyo yote sababu ya ufujaji wa sabuni za kuogea adhabu yenu Geisha.

Umenikumbusha mbali sana

Ilikuwa ni shiiiiddaaa!!
 
Preta, nilikuwa na mpango wa kukuoa mke wa pili, kumbe na wewe mzee kama Sitti Mtemvu Bibi Bomba...!
 
Wai. Miaka ya 90 Sir George Kahama alikuwa tayari ana simu ya mkononi. Kwa makusudi kabisa akawa anaenda nayo kanisani na kupokea calls humo humo tena kwa sauti.
Laptop ya kwanza Ilikuwa Samora Dar. RAM Nadhani ni 8mb.
 
daah, e bwana hilo kopo la blue band umenkumbusha mbali saaaana mkuu. Lilikuwa la bati sio plastiki. Dingi alikuwa akirudi hom anakuja na maswali kibao ya skuli (hasa kuimba multiplication tables) ukishindwa huli mkate asubuhi. Nakumbuka tangazo la KIWI la mzee jangala ITV miaka ya 1996 ile.

Tv ilikuwa kwa jirani na ilikuwa tabu kuangalia,unaambiwa kaa chini mara unavumbi!!!!!
 
Wai. Miaka ya 90 Sir George Kahama alikuwa tayari ana simu ya mkononi. Kwa makusudi kabisa akawa anaenda nayo kanisani na kupokea calls humo humo tena kwa sauti.
Laptop ya kwanza Ilikuwa Samora Dar. RAM Nadhani ni 8mb.

hivi ni nani alimpa huyu mzee U-sir
 
Hii sabuni siipendi ngumu sana na haina povu kabisa wazazi walikuwa wanatukomoa sabuni za watoto mnapewa dungu kubwa kama hilo hata kuishika inakuwa shuguli inabidi ikatwe vipande vinginevyo mkono wa kitoto hauwezi kuikamata yote hiyo.

Na hiyo yote sababu ya ufujaji wa sabuni za kuogea adhabu yenu Geisha.

Umenikumbusha mbali sana

hahahaha dah nimemiss maisha ya kipindi hiko
 
Playstation wamuachie nani

Kweli hapa ndio huwa natawasifu wachina walipoamua kusimamia tamadunizao wakadharaulika lakini leo hii hata wale walio wadharau wanakopa hela kwao mfano wazungu! yaani nikikumbuka tulivyoitoa kwa kuiga toyota land cruiser new model enzi hizo 1989 (no ARL 89)na yale makatapila yaliyo kuwa yanachonga barabara wakati wa ziara za mwenge na nyerere kule kijijini kwetu yaani ilikuwa likionekana gari limeingia kijijini kesho tunaingia kiwandani makopo yanaanza kukatwa mpaka gari linasimama kama lilivyo onekana, na ghafla ushindani ukaibuka wako walio tengeneza mpaka na cinema na wengine walitishia mpaka wakatengeneza ile mishale ya mcheza sinema RAMBO hawa waliishia kuchapwa vibaya mno shuleni baada ya kumjeruhi mpinzani wao! MUNGU siku moja tupe kiongozi atakaye heshimu utundu wa watoto wakitanzania.
 
Wai. Miaka ya 90 Sir George Kahama alikuwa tayari ana simu ya mkononi. Kwa makusudi kabisa akawa anaenda nayo kanisani na kupokea calls humo humo tena kwa sauti.
Laptop ya kwanza Ilikuwa Samora Dar. RAM Nadhani ni 8mb.

Alikuwa anatumia mtandao gani wa mobile? Tritel?
 
Back
Top Bottom