Papushikashi
JF-Expert Member
- Feb 28, 2016
- 10,739
- 12,839
kweli wanaume tumebaki wachache, wengi wamebaki waimba mchirikuKama atatoka atakuwa amejifunza mengi pia chama chake atakuwa amekijua zaidi, pia atakuwa amegundua kuwa Wema Sepetu ni muhimu sana kwenye chama kuliko yeye.