Kutoka mahakama kuu Tabora Live

Kutoka mahakama kuu Tabora Live

Status
Not open for further replies.
Makamanda hakuna ukombozi usiambatana na madhila kama haya.....kwa kadri mateso na makwazo yanavyozidi mjue ule mwisho haupo mbali....!
UJUMBE WA UKOMBOZI HUSAMBAA KWA KASI KWA GHARAMA HIZI ZA MATESO.
 
Bado hakuna kinachoendelea zaidi ni watu wanabadilishana mawazo huku Jaji akisubiriwa kuja kutoa uamuzi wa Mahakama kama hii kesi ni ya Ugaidi au la.
 
Jamani jaji bado hajaingia??au labda yuko kwenye simu akipokea amri za magogoni.
 
Watuhumiwa ambao ni makada wa Chadema wameshawasili wakiongozwa na Henry Kilewo na wenzake.mawakili wa pande zote nao wapo. Jaji ndo anasubiriwa

kazi za Mwigulu hizo ni kuwakomaza makamanda na kuwafanya wawe mashujaa kama Mandela,kweli nmeamini anatufanyia promo CDM
 
Karani anaweka mik vizuri ili Jaji atakapotangaza uamuzi kila mtu asikie sawia
 
Watuhumiwa ambao ni makada wa Chadema wameshawasili wakiongozwa na Henry Kilewo na wenzake.mawakili wa pande zote nao wapo. Jaji ndo anasubiriwa

Nadhani mambo yatakwenda kama yalivyopangwa.
 
Wakili Peter Kibatala amewakumbatia Watuhumiwa kama ishara ya maombi. Pia amamkumbatia Wakili Emmanuel wa Tabora. Na sasa Mawakili wa pande zote mbili wamevaa nguo zao za kazi wanamsubiri Jaji
 
Wakili Peter Kibatala amewakumbatia Watuhumiwa kama ishara ya maombi. Pia amamkumbatia Wakili Emmanuel wa Tabora. Na sasa Mawakili wa pande zote mbili wamevaa nguo zao za kazi wanamsubiri Jaji
Nadhani hata upande wa pili nao watakuwa wanaomba kimoyo moyo, kila mtu anahitaji mkono wa Mungu.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom