Kutoka Mahakama Kuu: Kesi ya Mbowe dhidi ya RC Makonda, RPC Sirro na ZCO Wambura

Huko bungeni wanaenda kufanya nini kama hawasukumi katiba, huyu kiongozi muoga ameboa sana. Anataka vitenguliwe ili wapige dili, walahi upinzani Tanzania ni upupwu sana.

CCM itazidi kuongoza tu kila uchaguzi.

Sasa ina maana tutaendelea kuwa masikini zaidi basi, maana kuongozwa na ccm ni tiketi ya kuendelea kuwa masikini kama nchi.
 
Makonda, Sirro na Wambura hawawezi kuacha kazi za kitaifa wakashinda mahakamani. Wataenda mawakili wa Serikali tu kwani washtakiwa no watumishi na walikuwq wqnatekeleza majukumu ya Jamhuri
Wanatekeleza majukumu kihunihuni tu!Haya sasa wao wanaitwa kisheria na kufuata utaratibu hawaendi Mahakamani...Ulevi tu wa madaraka ni hatari kuliko madawa ya kulevya.Period
 
Wewe ni msemaji wa upande huo?

Any way,

Kesi kama hizi ni kama kupoteza nguvukazi za watu (kodi) kwa faida ya wachache


Mfano,


Hii kesi inaweza kuzalisha chochote cha manufaa zaidi ya kumtoa mshindi ambaye hata hivyo sio wote watakubali ameshinda?


Tunahitaji kuachana na hizi siasa, REAL Tunaichelewesha Tanzania bila sababu

Hazina faida!


Kama Hapa ni kazi Tu,

Zifanyike kazi physical, Sio illusions ambazo zinakula TIME!


HAMTANIELEWA!
Ni muhimi kufwata utawala wa sheria hii ni namna ya kukumbushana kwamba tukipewa dhamana ya kuungoza tufwate sheria
 
CHADEMA wanafiki wakubwa wakiongelea utawala wa sheria wanaongelea wengine sio chama chao kufuata utawala wa sheria/Kisheria Mbowe alitakiwa kubeba zigo lake katwika chama.Hata wakiongelea mtu kukaa muda mrefu kwenye uongozi wao wanakuwa wanaongelea CCM sio kiongozi mwenyekiti wa maisha mheshimiwa Mbowe!

CHADEMA matapeli kwani ndio unawajua leo?
Acha hasira mkuu ndiyo siasa tu
 
Tunashindwa kutofautisha wakati wa kampeni na wakati wa kujenga Taifa, nakubaliana nakauli isemayo ili taifa liendelee lazima panakuwa na migongano ya fikra,hoja ..Ishu kama ya madawa hata mm niikitwa kuhojiwa lazima niende kwasababu sijatuhumiwa ila kama itathibitika nitawajibishwa, Hv niikifungu kipi cha katiba kinachosema hairuhusiwi mtu kuitwa mahakamani kuhojiwa, kuna vitu vingi vya kuikosoa serikali sio hili atakayefanya kama Mboye nimjinga
 
Nafikiri sasa tutaelewa kwa nini jaji Mkuu anakaimu. Kukataa kupokea wito au kupokea na kutoenda Mahakamani ni Contempt of Court ambayo huzaa kosa la Jinai. Ebu tuone kama kuna kitakachoendelea hapa " in this acting capacity"
 
Wewe ni msemaji wa upande huo?

Any way,

Kesi kama hizi ni kama kupoteza nguvukazi za watu (kodi) kwa faida ya wachache


Mfano,


Hii kesi inaweza kuzalisha chochote cha manufaa zaidi ya kumtoa mshindi ambaye hata hivyo sio wote watakubali ameshinda?


Tunahitaji kuachana na hizi siasa, REAL Tunaichelewesha Tanzania bila sababu

Hazina faida!


Kama Hapa ni kazi Tu,

Zifanyike kazi physical, Sio illusions ambazo zinakula TIME!


HAMTANIELEWA!
Ni kweli hautaeleweka kwa sababu na wewe hauwaelewi.
 
Kweli aisee kama mtu unaambiwa ufike mahakamani na unakaidi kufika, hatuko serious yaani viongozi wanatakiwa wawe mfano kwa kutii wito lakin kama wanakua mbele kutotii sheria wanaifundisha nini jamii? Wangeenda tu mahakamani kusikiliza kesi yao.
Kesi za kikatiba huwa ni tofauti na za jinai au madai.Za katiba huwa hawatajwi watu wala hushtaki watu unaomba ufafanuzi wa maswala ya kikatiba tu.Ukishtaki mtu kwenye mahakama ya katiba hiyo kesi umepeleka pasipo HUSIKA umeingia choo cha kike wakati wewe ni mwanaume.Hiyo kesi jaji lazima aitupilie mbali.Mtu hawezi shitakiwa mahakama ya katiba kule unaomba tu mafafanuzi ya maswala ya kikatiba.Hakuna cha nimemleta makonda,siro wala WAmbura hapa mahakamani
 
Mhimili wa mahakama ulidharaulika walipomnyima dhamana Lema pasipo sababu za msingi...nimefurahi rc kupuuza wito wa mahakama
 
Wewe ni msemaji wa upande huo?

Any way,

Kesi kama hizi ni kama kupoteza nguvukazi za watu (kodi) kwa faida ya wachache


Mfano,


Hii kesi inaweza kuzalisha chochote cha manufaa zaidi ya kumtoa mshindi ambaye hata hivyo sio wote watakubali ameshinda?


Tunahitaji kuachana na hizi siasa, REAL Tunaichelewesha Tanzania bila sababu

Hazina faida!


Kama Hapa ni kazi Tu,

Zifanyike kazi physical, Sio illusions ambazo zinakula TIME!


HAMTANIELEWA!
Umeeleweka
 
Mahakama ichukue hatua stahiki bila kuangalia hali ya mtu Cheo au Madaraka yake sheria ni msumemo aipo kwa watu maalumu
 
Kesi za kikatiba huwa ni tofauti na za jinai au madai.Za katiba huwa hawatajwi watu wala hushtaki watu unaomba ufafanuzi wa maswala ya kikatiba tu.Ukishtaki mtu kwenye mahakama ya katiba hiyo kesi umepeleka pasipo HUSIKA umeingia choo cha kike wakati wewe ni mwanaume.Hiyo kesi jaji lazima aitupilie mbali.Mtu hawezi shitakiwa mahakama ya katiba kule unaomba tu mafafanuzi ya maswala ya kikatiba.Hakuna cha nimemleta makonda,siro wala WAmbura hapa mahakamani
Kwahiyo ndio sababu hawajatii wito??
 
Back
Top Bottom