onechromosome
JF-Expert Member
- Jul 10, 2014
- 1,243
- 777
Jamuhuri ndo iliwatuma wafanye upumbavu sioMakonda, Sirro na Wambura hawawezi kuacha kazi za kitaifa wakashinda mahakamani. Wataenda mawakili wa Serikali tu kwani washtakiwa no watumishi na walikuwq wqnatekeleza majukumu ya Jamhuri