Kutoka kwa Abdul Nondo

Na mimi nikiitwa MSALITI naomba mje mnitetee Mkuu. Nakipenda chama changu!
 
Hata ulichopata ni ELIMU tosha.
Siku nyingine Ogopa kutumika.
 
Karibu tena. Tuliza kichwa, soma, endelea na maisha yako. Tenda kama ulivyosema.
 
Pole sana ukiwa binadamu usijichanganye na mashetani yatakushawishi katika mipango ya hovyo mwisho wa siku yatakuwacha ni mungu pekee ndio amekusaidia!
 
Unanijua mimi ni nani wewe? Kwani ni yeye pekee kapitia madhila na wakati mgumu?

Tii mamlaka iliyopo madarakani hata tumeamriwa hivyo kwenye maandiko matakatifu.

Amri!
Shetani mkubwa wewe, na huna muda utanyooka
 
Nondo umewaaibisha sana. Ww ni kielelezo muhimu cha vijana wa taifa tunalolitaka. Uzidi kuwa imara na nakuombea ujiajiri/uajiriwe kwenye mashirika ya uanaharakati
 
Unafki huu, mtu kama Mwigulu Nchemba na Bashite unaachaje kutokuwa na kinyongo nao?

Hawa mashetani wawili unapaswa kuirithisha hii chuki kwao kwa vizazi saba.

Hivi huu uchawi mnaosifiwa Kigoma mnashindwa hata kuwashusha mabusha tu hawa mashetani?
 
Unanijua mimi ni nani wewe? Kwani ni yeye pekee kapitia madhila na wakati mgumu?

Tii mamlaka iliyopo madarakani hata tumeamriwa hivyo kwenye maandiko matakatifu.

Amri!
atutaki kujua wewe ni nani....wacha ufala uo u nani wako hautusaidi kitu
 
Pole sana kijana! Ndio maisha yalivyo.
 
Unafki huu, mtu kama Mwigulu Nchemba na Bashite unaachaje kutokuwa na kinyongo nao?

Hawa mashetani wawili unapaswa kuirithisha hii chuki kwao kwa vizazi saba.

Hivi huu uchawi mnaosifiwa Kigoma mnashindwa hata kuwashusha mabusha tu hawa mashetani?
Ameandika tu ila kuhusu chuki msome katikati ya mistari utajua.Binadamu wa nyama na roho utendwe uache kuchukia?What a freak!Ila,yawezekana hajajua kupambanua kati ya chuki na kuchukia.Lemme go to sleep,again!
 
Unanijua mimi ni nani wewe? Kwani ni yeye pekee kapitia madhila na wakati mgumu?

Tii mamlaka iliyopo madarakani hata tumeamriwa hivyo kwenye maandiko matakatifu.

Amri!
Pumbavu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…