Kutoka kuwa kondakta mpaka uwaziri

Kutoka kuwa kondakta mpaka uwaziri

Ni sawa na kusema kutoka Kudokoa Nyama Jikoni au kukojoa Kitandani mpaka kuwa Mfalme...; Hakuna Ajabu hapo...., hizo ni hatua ambazo kuzipitia sio ajabu....

Huyu hajatoka kuwa Kondakta mpaka akawa waziri amepitia Ubunge na ngazi nyingi tu katika Siasa...., na katika waliopitia mabonde na milima (mfano kina Museveni kule Uganda) huyu kapitia njia ya Rami)

Ndio yale yale mwingine anahadithia alikuwa ana shati moja la shule, wakati anaowaambia wengine walikuwa wanatembea vifua wazi..., Hawa watu wapo out of touch na jamii iliyowazunguka.....
 
Motivation speaker sasa...
Fundi viatu, kujaza upepo magari, kuziba pancha, kuchukua makonokono ya urembo wa baharini, kuuza kenya, fanya leo upewa mvua, ya miaka, zamani free hakuna ushuru Wala maliasiri kuvusha vitu, alifungua mgahawa, mgahawa kariakoo, kwa leo miushuru kibao, kutoboa kazi kweli.
 
Fundi viatu, kujaza upepo magari, kuziba pancha, kuchukua makonokono ya urembo wa baharini, kuuza kenya, fanya leo upewa mvua, ya miaka, zamani free hakuna ushuru Wala maliasiri kuvusha vitu, alifungua mgahawa, mgahawa kariakoo, kwa leo miushuru kibao, kutoboa kazi kweli.
Duuh kweli watu wanatoka mbali..
Ila kuna watu wanabahati mkuu
 
Nimependa hapo ulipo sisitiza kwamba ana namba uya uhakika...😋
 
Back
Top Bottom