Mwamapalala
Member
- Dec 20, 2013
- 39
- 7
KUTOKA KASULU - KIGOMA.
Katika hali ya kushangaza jumapili ya juzi tarehe 29 Disemba, 2013
aliyekuwa naibu katibu mkuu wa CHADEMA aliyevuliwa nyadhifa zake kwenye chama Bw Zitto kabwe tulikuwa naye kwenye ibada hapa kanisa la Anglikana Kasulu akiwa amekuja kuombewa kwa kile alichodai kwamba anapita katika wakati mgumu kisiasa na mikwamo mingi kupigania maslahi ya wanakigoma.
Maombi hayo maalumu yaliendeshwa na askofu Gerald Mpango ambaye alishawi kugombea ubunge kwa tiketi ya CCM na kushindwa kwenye kura za maoni. Askofu Mpango alimkaribisha Zitto madhabahuni ili atoe ya moyoni kabla ya maombi maalum. Aliposimama madhabahuni Bw Zitto alisema "Nahitaji sana maombi yenu katika wakati huu mgumu kisiasa kwangu pamoja na maslahi yenu watu wa Kigoma..."
Source: mimi mwenyewe
Katika hali ya kushangaza jumapili ya juzi tarehe 29 Disemba, 2013
aliyekuwa naibu katibu mkuu wa CHADEMA aliyevuliwa nyadhifa zake kwenye chama Bw Zitto kabwe tulikuwa naye kwenye ibada hapa kanisa la Anglikana Kasulu akiwa amekuja kuombewa kwa kile alichodai kwamba anapita katika wakati mgumu kisiasa na mikwamo mingi kupigania maslahi ya wanakigoma.
Maombi hayo maalumu yaliendeshwa na askofu Gerald Mpango ambaye alishawi kugombea ubunge kwa tiketi ya CCM na kushindwa kwenye kura za maoni. Askofu Mpango alimkaribisha Zitto madhabahuni ili atoe ya moyoni kabla ya maombi maalum. Aliposimama madhabahuni Bw Zitto alisema "Nahitaji sana maombi yenu katika wakati huu mgumu kisiasa kwangu pamoja na maslahi yenu watu wa Kigoma..."
Source: mimi mwenyewe