MWANALUGALI
JF-Expert Member
- Feb 1, 2010
- 601
- 34
Mkapa anaonyesha ana hasira anahutubia kwa jazba. jazba zile zaonekana kama kujikosha mbele ya kikwete ili akishinda aendelee kumpa ulaji. DK Slaa alimtaja Mkapa katika kundi lile la List of Shame! kwa hiyo ana hasira naye. Hata akiimbisha nyimbo au akafanuya nini mwaka huu DK. Slaa anachukua nchi bila tatizo