Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,172
Wana JF, kuna yoyote mwenye taarifa kuhusu mkutano wa CCM viwanja vya Jangwani?
Tunaomba taarifa
Tunaomba taarifa
watu ni wengi saaaana, this shows he is going to win it
Watu ndio wanazidi kuongezeka, namuona sheikh yahya anaingia,
Hawezi kushinda.
Sio makosa yako, saikolojia yenu imejipanga kubisha kabla kupiga kura.
Hebu tuache unafiki: Hivi kweli unaweza kukiri kwa nafsi yako kuwa Kikwete anafaa kupigiwa kura kuwa Rais kwa kipindi kingine cha miaka mi5?
Tunamkataa SLAA kwa ubaguzi na uchochezi, damu iliyomwagika Maswa inatosha..HATUGAWANYIKI
Hiyo watafanya watu wa nyumbani kwako tu
ninachofikiri si lazima kiwe kile wanachofikiri wapiga kura wengine, matakwa ya wapiga kura wengi ndio yatakayo amua na hii itajulikana wakati wa kuhesabu kura tu.
kweli wewe na akili zako unaona JK ndo Rahisi anayefaa kwa tanzania??
Nikilimlinganisha na mtu anayeishi na Kimada gesti (sorry), nikilinganisha na mtu anaye aliyesimamishwa na chama cha kikabila, nikiangalia shinikizo la kugombea limetoka kutuka kwa kundi fulani la dhehebu la dini, KURA yangu kwa KIKWETE kwa sababu;
1.anatoka chama kinachodumisha umoja, mshikamano, amani na utulivu wa taifa hili;
2.ametekeleza mengi ya yale aliyoahidi 2005(kejeli utakavyo lakini kweli imesimama)
3. anauzoefu wa uongozi kuliko wagombea wote.
4.ana busara, wala hadanganyi ili tu apewe kura( slaa ni muongo)
5.chini ya uongozi wake demokrasia imekuwa na amesimamia kwa dhati vita dhidi ya rushwa( bado kuna haja kuongeza kasi though)
Nikilimlinganisha na mtu anayeishi na Kimada gesti (sorry), nikilinganisha na mtu anaye aliyesimamishwa na chama cha kikabila, nikiangalia shinikizo la kugombea limetoka kutuka kwa kundi fulani la dhehebu la dini, KURA yangu kwa KIKWETE kwa sababu;
1.anatoka chama kinachodumisha umoja, mshikamano, amani na utulivu wa taifa hili;
2.ametekeleza mengi ya yale aliyoahidi 2005(kejeli utakavyo lakini kweli imesimama)
3. anauzoefu wa uongozi kuliko wagombea wote.
4.ana busara, wala hadanganyi ili tu apewe kura( slaa ni muongo)
5.chini ya uongozi wake demokrasia imekuwa na amesimamia kwa dhati vita dhidi ya rushwa( bado kuna haja kuongeza kasi though)