nuruyamnyonge
JF-Expert Member
- Mar 18, 2014
- 4,386
- 2,151
Mkuu huenda JokaKuu naye amehesabiwa na Lowassa? Uhuni wote wa Lowassa pale Amri Abeid bado Lowassa ni kielelezo l kulinganisha na wengine?
Hii kauli ya Lowasa ya simama uhesabiwe inanipa wasiwasi mkubwa sana! Tujadile kidogo nini maana ya kauli hii!
Nikianza mimi mwenyewe inamaanisha kwamba, asije mtu yeyote baada ya Lowasa kupitishwa na chama chake akajifanya naye alikuwa naye pamoja, huyo hana nafasi ya kuvuna mapesa baada ya kuwekeza pesa ndefu kwa jamii.
Last edited by a moderator: