Kutoka Bungeni: June 30, 2011

sulphadoxine

JF-Expert Member
Nov 1, 2010
2,257
644
Mbunge wa viti maalumu (CHADEMA) Raya Khamis ahoji, tokea tupate uhuru hakuna IGP aliyetokea Zanzibar na vile vile kuhusu swala zima la ajira linaupendeleo sana,watu wazanzibar wanatengwa.
 
Mbunge wa viti maalumu (CHADEMA) Raya Khamis ahoji, tokea tupate uhuru haukuna IGP aliyetokea Zanzibar na vile vile kuhusu swala zima la ajira linaupendeleo sana,watu wazanzibar wanatengwa.

wanatengwaje sasa? znz si jimbo km ubungo?
 
Mbunge wa Kondoa Kusini (CCM), Juma Nkamia, amesema serikali haina sera ya habari na kuingilia kati kutunga sheria ya habari kudhibiti mwenendo wa vyombo vya habari kwa kuwa kila chombo cha habari kimekuwa kikienda kinavyotaka.
Nkamia alisema hayo alipokuwa akichangia mjadala wa bajeti ya Ofisi ya Waziri Mkuu kwa mwaka wa fedha wa 2011/2012, bungeni, mjini hapa jana.
“Kila gazeti likiamka asubuhi wanaangalia wamwelekeze nani. Ni mashambulizi tu. Nchi haiwezi kwenda, lazima tuwe na ajenda ya taifa. Mimi nina wasiwasi kama vitaendelea na hali hii, baadhi ya wahariri watakuja kuingia kama ilivyowakuta baadhi ya wahariri wa vyombo vya habari nchini Rwanda,” alisema Nkamia.
Aliishauri serikali kuwa makini na kutunga sera ya habari ili kujua Watanzania wanakoelekea na mustakabali wa taifa.
Aidha, amesema fedha za mpango wa uwezeshaji wananchi, maarufu kama ‘mabilioni ya JK’, hazikuwafikia walengwa na kwamba, hata waliopata siyo waliostahili.
“Nilikuwa nazungumza na watu kule Kondoa, nimefanya utafiti kidogo. Sidhani kama wanazidi watu wawili waliopata hizi fedha za Kikwete. Na hata waliopata siyo waliostahili,” alisema Nkamia.
CHANZO: NIPASHE
 
ha ha haaa mkamia hataki watu waandike jinsi zitto alivyomvuruga juzi bbc... Ukweli lazima usemwe hata kama unauma sasa yeye alipokubali mdahalo na zitto alifikiri wanaenda kutoa shukrani kwa spika, mkewe na mifugo yake? Wabunge wa ccm bana..
 
Mbunge wa kahama james lembeli ameunga mkono migomo na maandamano vinavyoendelea hapa nchini kwa kudai kuwa tanzania sio kisiwa kwa kuwa migomo na maandamano vinatokea pote duniani. Lembeli pia amesema migomo ilikuwepo tangu enzi za mwalimu na kuna watu ambao walichapwa viboko ambao leo hii ni wabunge. Pia kasema inasikitisha wanafunzi wanapanga foleni kwenye benk masaa matatu halafu wakiingia ndani wanaambiwa pesa hazijaingia, katika hali kama hii ni vigumu kwa wanafunzi kukaa kimya hata angekuwa yeye angelalamika. Ameitaka serikali itoe mikopo kwa wakati ili kuepusha migomo. Lembeli pia amewataka wabunge kuacha kujadili mambo ya migomo na maandamano bungeni badala yake waielekeze nini cha kufanya kuliko kunyoosheana vidole. Source: bungeni dodoma.
 
Mbunge wa kahama james lembeli ameunga mkono migomo na maandamano vinavyoendelea hapa nchini kwa kudai kuwa tanzania sio kisiwa kwa kuwa migomo na maandamano vinatokea pote duniani. Lembeli pia amesema migomo ilikuwepo tangu enzi za mwalimu na kuna watu ambao walichapwa viboko ambao leo hii ni wabunge. Pia kasema inasikitisha wanafunzi wanapanga foleni kwenye benk masaa matatu halafu wakiingia ndani wanaambiwa pesa hazijaingia, katika hali kama hii ni vigumu kwa wanafunzi kukaa kimya hata angekuwa yeye angelalamika. Ameitaka serikali itoe mikopo kwa wakati ili kuepusha migomo. Lembeli pia amewataka wabunge kuacha kujadili mambo ya migomo na maandamano bungeni badala yake waielekeze nini cha kufanya kuliko kunyoosheana vidole. Source: bungeni dodoma.

Wabunge wa chadema noma yaani mbunge moja kama wabunge 50.6 ila kama sio wa chadema hakuna atakaempongeza akalale tu!
 
Mbunge wa kahama james lembeli ameunga mkono migomo na maandamano vinavyoendelea hapa nchini kwa kudai kuwa tanzania sio kisiwa kwa kuwa migomo na maandamano vinatokea pote duniani. Lembeli pia amesema migomo ilikuwepo tangu enzi za mwalimu na kuna watu ambao walichapwa viboko ambao leo hii ni wabunge. Pia kasema inasikitisha wanafunzi wanapanga foleni kwenye benk masaa matatu halafu wakiingia ndani wanaambiwa pesa hazijaingia, katika hali kama hii ni vigumu kwa wanafunzi kukaa kimya hata angekuwa yeye angelalamika. Ameitaka serikali itoe mikopo kwa wakati ili kuepusha migomo. Lembeli pia amewataka wabunge kuacha kujadili mambo ya migomo na maandamano bungeni badala yake waielekeze nini cha kufanya kuliko kunyoosheana vidole. Source: bungeni dodoma.
 
Mbunge wa kahama james lembeli ameunga mkono migomo na maandamano vinavyoendelea hapa nchini kwa kudai kuwa tanzania sio kisiwa kwa kuwa migomo na maandamano vinatokea pote duniani. Lembeli pia amesema migomo ilikuwepo tangu enzi za mwalimu na kuna watu ambao walichapwa viboko ambao leo hii ni wabunge. Pia kasema inasikitisha wanafunzi wanapanga foleni kwenye benk masaa matatu halafu wakiingia ndani wanaambiwa pesa hazijaingia, katika hali kama hii ni vigumu kwa wanafunzi kukaa kimya hata angekuwa yeye angelalamika. Ameitaka serikali itoe mikopo kwa wakati ili kuepusha migomo. Lembeli pia amewataka wabunge kuacha kujadili mambo ya migomo na maandamano bungeni badala yake waielekeze nini cha kufanya kuliko kunyoosheana vidole. Source: bungeni dodoma.
Wabunge wa magamba wanatakiwa wakalishwe chini wachezwe kama mwali ndiyo huenda wataelewa!
 
wkt mwingine wabunge wa magamba wanashtuka na kuwasemea wananchi, walishashtuka kuwa wakizidi vijembe visivyokuwa na tija hata mtaani hapatakalika.
 
ha ha haaa mkamia hataki watu waandike jinsi zitto alivyomvuruga juzi bbc... Ukweli lazima usemwe hata kama unauma sasa yeye alipokubali mdahalo na zitto alifikiri wanaenda kutoa shukrani kwa spika, mkewe na mifugo yake? Wabunge wa ccm bana..
Mkuu asante,me nnadhani mtu akijiunga na ccm tu anapata virus automatically
 
Mbunge wa kahama james lembeli ameunga mkono migomo na maandamano vinavyoendelea hapa nchini kwa kudai kuwa tanzania sio kisiwa kwa kuwa migomo na maandamano vinatokea pote duniani. Lembeli pia amesema migomo ilikuwepo tangu enzi za mwalimu na kuna watu ambao walichapwa viboko ambao leo hii ni wabunge. Pia kasema inasikitisha wanafunzi wanapanga foleni kwenye benk masaa matatu halafu wakiingia ndani wanaambiwa pesa hazijaingia, katika hali kama hii ni vigumu kwa wanafunzi kukaa kimya hata angekuwa yeye angelalamika. Ameitaka serikali itoe mikopo kwa wakati ili kuepusha migomo. Lembeli pia amewataka wabunge kuacha kujadili mambo ya migomo na maandamano bungeni badala yake waielekeze nini cha kufanya kuliko kunyoosheana vidole. Source: bungeni dodoma.
 
Mbunge wa kahama james lembeli ameunga mkono migomo na maandamano vinavyoendelea hapa nchini kwa kudai kuwa tanzania sio kisiwa kwa kuwa migomo na maandamano vinatokea pote duniani. Lembeli pia amesema migomo ilikuwepo tangu enzi za mwalimu na kuna watu ambao walichapwa viboko ambao leo hii ni wabunge. Pia kasema inasikitisha wanafunzi wanapanga foleni kwenye benk masaa matatu halafu wakiingia ndani wanaambiwa pesa hazijaingia, katika hali kama hii ni vigumu kwa wanafunzi kukaa kimya hata angekuwa yeye angelalamika. Ameitaka serikali itoe mikopo kwa wakati ili kuepusha migomo. Lembeli pia amewataka wabunge kuacha kujadili mambo ya migomo na maandamano bungeni badala yake waielekeze nini cha kufanya kuliko kunyoosheana vidole. Source: bungeni dodoma.

wasukuma siku zote hawapendi unafiki. ukisikia msukuma ni mnafiki basi ujue huyo ni Mnyantuzu.
 
Back
Top Bottom