Kutoka Bungeni - Jumamosi 21, Aprili 2012 (Videos)

Sasa King Kong eeh,
Jembe lina msaada kwenye kilimo. Njoo bush uone. Mzazi... Kila mtu anajua umuhimu wake, hata awe wa kambo. Mashine ndo usiseme inasimplify kazi.
Haya sasa Jambazi je? Kuna faida au umuhimu? Spika Makinda atueleze kinagaubaga, maana si ajabu wanawatumia kwenye kazi zao hao majambazi kuua viongozi wa upinzani na wananchi. Hakuna cha kumtetea hapa, ajielezee mbele ya watz ana maana gani, kisha aombe radhi. Otherwise ana maanisha majambazi wana faida katika jamii!

Ok Nimekupata mkuu ambae upo mbioni kutoweka!
 
Wasira anapinga sera za Majimbo kwa kuhofia serikali kukosa pesa za kulipa posho mabunge ya Majimbo. Yani yeye akili yake imejikita kwenye posho tu. Hasemi kwamba itasaidia kupunguza ufisadi.
 
Sasa ni Majumuisho Kamati ya Nishati na Madini

Miongozo mingi imewekwa pending, baki hapo hapo kuna mazito leo Mjengoni ninavyoona maana wabunge kama wanazidi kujazwa hasira na SUPIKA WAO
 
Sasa ni Majumuisho Kamati ya Nishati na Madini

Miongozo mingi imewekwa pending, baki hapo hapo kuna mazito leo Mjengoni ninavyoona maana wabunge kama wanazidi kujazwa hasira na SUPIKA WAO

Mku GHOST RYDER,
Nami nipo Dodoma. Wewe upo sehemu gani Mkuu?

 
Kweli CCM na serikali yake imefikia mwisho wake sababu nashindwa kuamini jinsi Mawaziri wake walivyo na roho ngumu. Sasa hivi Wasira alikuwa anachangia bungeni akawa anaponda hoja ya CDM ya serikali za majimbo. Nimeshangaa pale aliposema gharama zitakuwa kubwa na akasema "SASA HIVI BUNGE LENYEWE MOJA TU LAKINI LAKINI TUNASHINDWA KULIPA POSHO". Ina maana kwa sasa Wasira anaona posho wanayolipwa ni kama vile hakuna kitu! Pamoja na hoja ya posho kufungwa lakini inaonekana bado inawaumiza sana baadhi ya mawaziri na wabunge wa CCM!
 
Ninasikiliza bunge kupitia Arusha Mambo online. Mara Wassira alipomaliza kuongea, nimesikia sauti inayofanana na yake akiwa anajibizana na mtu: Anataka ulaji!!!
 
WASSIRA

Anadai mfumo wa Majimbo ni ghari sana kwa kuwa hata KENYA wamejaribu na wanelekea kushindwa kutokana na gharama za uendeshaji.

Ati Bunge pekee linashindwa kuwalipa posho itakuwaje endapo tutakuwa na mabunge kila mkoa (Anazisahau Halmashauri na vikao vya madiwani)

MY TAKE: Haijui dhana ya majimbo na kasimama kupotosha Ukweli wa mambo

Zee hilo linajua nini!
 
Tukitaka haki itendeke bungeni lazima Speaker aondolewe kwanza
 
Na nyingine wakati Professa anaongea, utashangaa Professa gani huyo? Usikonde ni Professor Maji Marefu kuna sauti ziliskika zikisema "Liaaaaaaaaa"
 
Makinda hii na aibu,kwel hujui kama WAMA ni taasis ya serikal au la?ama kweli mara hii tunaye spika bomu.ndo maana mnafiki sita alisema aliondolewa kifisadi kwenye kinyanganyiro
 
WASSIRA

Anadai mfumo wa Majimbo ni ghari sana kwa kuwa hata KENYA wamejaribu na wanelekea kushindwa kutokana na gharama za uendeshaji.

Ati Bunge pekee linashindwa kuwalipa posho itakuwaje endapo tutakuwa na mabunge kila mkoa (Anazisahau Halmashauri na vikao vya madiwani)

MY TAKE: Haijui dhana ya majimbo na kasimama kupotosha Ukweli wa mambo

Idadi ya wawakilishi itapungua, maana kila mkoa utakuwa na wabunge wawili wa kitaifa na wabunge wa mkoa ambao kila wilaya itawakilishwa na mbunge mmoja. Kwa utaratibu huu gharama kubwa zinazotumika sasa kugharimia bunge la Muungano ni kubwa mno na pengine baadhi ya posho zitafutwa. Kila mkoa unakuwa na utaratibu wa matumizi ya kodi na asilimia chache ndio zinapelekwa taifa.
 
Hawa watu huwa wanafikiri kabla ya kusema kweli...Majimboni tayari kuna madiwani,wakuu wa wilaya ,wakuu wa mikoa, wakurungezi wa halmashauri na mlolongo mwingi..sielewi yeye anasema nini kitaongezeka ..swala madiwani wawe wenye uwezo ...wakina prof.maji marefu wapunguzwe.....sioni gharama anayoongelea...
 
kitaeleweka tu penyenia pana njia ipo siku wananchi watavamia mjengo huo pawake moto kwani tumechoka watu kula hela kisha wajanja wanawatetea.Pinda amezoea kulia lakini kwenye hili naona amekaa kimya bora tu aondoke mbona kwa jairo pinda aliongea mapema leo kwa wazir wa pesa kapiga kimya au nayeye ana kahisa
 
wakati wasira anazungumzia swala la serikali ya majimbo akaikataa hoja ya mbowe kuunda serikali kila mkoa kama USA wanavyofanya.alimaliza na hilo then kuna mbunge akalopoka anataka ulaji,sasa cjui ni nani huyo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom