Mgodo Mgodoki
JF-Expert Member
- Jul 25, 2014
- 1,399
- 1,365
Arusha tuliaminishwa maamuzi magumu, matokeo yke hotuba haikua na kitu.
Utaelewa tuu,kudadadaki....
Arusha tuliaminishwa maamuzi magumu, matokeo yke hotuba haikua na kitu.
CCM...poleni sana.
Haya yoote mmejitakia.
Arusha tuliaminishwa maamuzi magumu, matokeo yke hotuba haikua na kitu.
Wacha nicheke tu
Chadema ni kama wale mafisi wa kwenye Hakuna matata. wao ukiwapa nyama wako tayari kwa lolote
Piga hela Mbowe na Dr Slaa, huu ndio wakati wenyewe kwani jamaa kaishachanganyikiwa
ITV, Radio one na Chanel ten watakuwa live
Sitaki kuamini macho yangu
Mkuu ni wewe
tunasubiri azimio la bahari beach
Wacha nicheke tu
Chadema ni kama wale mafisi wa kwenye Hakuna matata. wao ukiwapa nyama wako tayari kwa lolote
Piga hela Mbowe na Dr Slaa, huu ndio wakati wenyewe kwani jamaa kaishachanganyikiwa
Huku wamekata umeme tusimuone Rais mtarajiwa,ITV mtuonyeshe marudio yake usiku kama kipindi maalum
wanarusha wapi wakuu