Mathias Lyamunda
JF-Expert Member
- Apr 4, 2013
- 1,369
- 558
Tunasubiri kwa hamu kubwa sana
Habari wakuu,
Leo Jumanne, tarehe 28 Julai, 2015, chama cha demokrasia na maendeleo (CHADEMA) kitampokea rasmi Edward Lowassa kuwa mwanachama wake mpya kutoka chama tawala, tukio hili pia litahudhuria na viongozi wa vyama vinavyounda umoja wa katiba ya wananchi (UKAWA). Tuwe sote kujuzana yanayojiri katika mapokezi haya.
==================
Jaman mza hakuna umeme..wamekata..tupia na pcha bana. #WatanyookaTuu[/QUOT
Asanteni toka Dar tu nafuatilia via JF
roho zetu zinakwenda kutulia asante el karibu sana mungu akupe maisha marefu