Kutoka Angola: Mwigulu atema Cheche

Kutoka Angola: Mwigulu atema Cheche

Jamaani jamaani watanzania muna manini vichwani mwenu? haya maspeech ya kuandikiwa ambayo mtu hatoi kichwan kwake mnampa sifa mtu asiyestahili, nyerere kwa kiasi kikubwa alitoa kichwan sasa huyu Mugulu mnasemaje ni nyerere huyu jamani mbona munakela sana nyiny wapambe wake wasaka tonge???
Acheniwivu na husuda kama kaandikiwa mbona wengine hawajaandokiwa,sivizuri kudharau kazi za wenzako!!
 
Post imekosa wapiga debe


Mwigullu akili hii aipate wapi?

Hayo wanaandikiwa na akina Mukandara ndo wanaenda kuuzia sura huko....

Hizo Sifa wamempa za bure (Kama kweli) coz jamaa ni too low
 
Acheniwivu na husuda kama kaandikiwa mbona wengine hawajaandokiwa,sivizuri kudharau kazi za wenzako!!


Mwigullu hana ubongo Wa kuzalisha alichosoma zaidi ya kuandikiwa....

Ukitaka kuamini mkamate kesho akupe analysis hata ya sentensi moja tu uone Kama atafurukuta....
 
Mwigullu hana ubongo Wa kuzalisha alichosoma zaidi ya kuandikiwa....

Ukitaka kuamini mkamate kesho akupe analysis hata ya sentensi moja tu uone Kama atafurukuta....

Hata kutambua fulani ni mwandishi mzuri pia ni akili!Tunaambiwa alikuwepo mkongwe Mary Nagu na wengine mbona wameshindwa kumpata mwandishi wa namna hiyo ukizingatia wao wanauzoefu mkubwa ukilinganisha na Mwigulu?
 
Hata kutambua fulani ni mwandishi mzuri pia ni akili!Tunaambiwa alikuwepo mkongwe Mary Nagu na wengine mbona wameshindwa kumpata mwandishi wa namna hiyo ukizingatia wao wanauzoefu mkubwa ukilinganisha na Mwigulu?

Mbona hujatuletea habari zao? Fanyeni kazi vijana haya mambo ya kutumika Kama toilet paper yatawagharimu Sana....
 
Kumlinganisha Mnyika na Mwigulu ni dharau kubwa sana sana. Mnyika ana uwezo mara mia zaidi ya gaidi Mwigulu....

Ni kweli kabisa,hawaoni mtu wa kumlinganisha na Mnyika.Kibaka huyo Mwigulu alinganishwe na akina Kigwangala.
 
Back
Top Bottom