Nengonengo
JF-Expert Member
- Jul 8, 2014
- 305
- 61
Hahaaa! Kutoka jina la Nyerere hadi Sokoine, kweli ni mzalendo.
Hahaaa! Kutoka jina la Nyerere hadi Sokoine, kweli ni mzalendo.
mwigulu ni jembe hata zito na macdm yote yanafaham
Ww ndo mpini wake
Sometime unakuwa vizuri sana kichwani mkuu....huyo jamaa umemuliza swali la msingi sana
Mnyika mbona mbugila tu.hivi mwigulu na Mnyika nani anatetea maisha wananchi? mwigulu si anatetea maslahi ya CCM,
Kumlinganisha Mnyika na Mwigulu ni dharau kubwa sana sana. Mnyika ana uwezo mara mia zaidi ya gaidi Mwigulu....
mkuu najiulizaga kila siku kwani mzee wetu sokoine alikuwa Gaidi....
Hizi porojo zingine za ajabu kweli!!, Mimi nyerere wangu aliyepo kwa sasa ni Dr. Slaa tu.
Mnyika mbona mbugila tu.
Watanzania ndio wamekuwa wapumbavu kiasi hiki?