Fakhi Jumaa JF-Expert Member Apr 12, 2012 239 47 Apr 16, 2012 #1 wadau tafadhali naomba mnisaidie, kuna bwana mmoja kaniletea ipad anadai ni hii mpya(iliyorelease-wa Oct 2011) naombeni mnisaidie kwamba nitatofautishaje kati ya iPad 1, iPad 2 na hiyo iPad 3; msaada jamani naweza kuibiwa hapa
wadau tafadhali naomba mnisaidie, kuna bwana mmoja kaniletea ipad anadai ni hii mpya(iliyorelease-wa Oct 2011) naombeni mnisaidie kwamba nitatofautishaje kati ya iPad 1, iPad 2 na hiyo iPad 3; msaada jamani naweza kuibiwa hapa
Kang JF-Expert Member Jun 24, 2008 5,495 2,252 Apr 16, 2012 #2 Ipad mpya (Ipad 3) imetoka march mwaka huu so hiyo sio mpya. Nenda ID Your iPad - iFixit fuata hatua itakuambia version ya iPad yako.
Ipad mpya (Ipad 3) imetoka march mwaka huu so hiyo sio mpya. Nenda ID Your iPad - iFixit fuata hatua itakuambia version ya iPad yako.
Fakhi Jumaa JF-Expert Member Apr 12, 2012 239 47 Apr 16, 2012 Thread starter #3 ni kweli kaka ilitoka March, thanx kwa msaada kweli umeniikoa ndo nilikuwa naibiwa hiv
Ulukolokwitanga JF-Expert Member Sep 18, 2010 8,396 7,968 Apr 16, 2012 #4 Fakhi Jumaa said: ni kweli kaka ilitoka March, thanx kwa msaada kweli umeniikoa ndo nilikuwa naibiwa hiv Click to expand... Labda hata bei aliyotaka kukuuzia sio ya Ipad 3. Ipad 1 haina 3G inatumia WiFi peke yake. 2&3 zina both 3G and WiFi so kazi ni kwako.
Fakhi Jumaa said: ni kweli kaka ilitoka March, thanx kwa msaada kweli umeniikoa ndo nilikuwa naibiwa hiv Click to expand... Labda hata bei aliyotaka kukuuzia sio ya Ipad 3. Ipad 1 haina 3G inatumia WiFi peke yake. 2&3 zina both 3G and WiFi so kazi ni kwako.