Kutoa uchafu kutoka puani

Kutoa uchafu kutoka puani

Glas

JF-Expert Member
Joined
May 30, 2016
Posts
1,242
Reaction score
1,188
Wakuu, habari zenu bhana...aisee kuna hii kitu nimejaribu kufanya kautafiti kidogo matokeo yake yananichanganya. Ni hivi, ni kwann mtu akitoa uchafu puani kwa kidole ni lazima aangalie kabla hajaamua kufuta au kutupa pembeni?? Nimejaribu kuangalia watu wengi nikiwemo mimi mara zote napotoa uchafu puani ni lazima nitaangalia kabla cjafuta. Je kuna uhusiano wowote kisaikolojia?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu, habari zenu bhana...aisee kuna hii kitu nimejaribu kufanya kautafiti kidogo matokeo yake yananichanganya. Ni hivi, ni kwann mtu akitoa uchafu puani kwa kidole ni lazima aangalie kabla hajaamua kufuta au kutupa pembeni?? Nimejaribu kuangalia watu wengi nikiwemo mimi mara zote napotoa uchafu puani ni lazima nitaangalia kabla cjafuta. Je kuna uhusiano wowote kisaikolojia?

Sent using Jamii Forums mobile app

Si unaangalia nini kimetoka..waweza kuta umetoa kipande cha pua!!
 
From another galaxy....ah ah ah ah

Sent using Jamii Forums mobile app
Benzema.
images%20(5).jpeg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom