Mbavu za Mbwa
JF-Expert Member
- Jan 2, 2011
- 303
- 154
Ndugu zangu wenye fikra pevu!!!
Ninaomba kufafanuliwa maana ya dhana hizi zinazotumika katika vikao vya bunge letu. Dhana hizo ni KUTOA SHILINGI na pia KUSHIKIRIA MSHAHARA WA WAZIRI.
Nini maana ya dhana hizi mbili?
Ninaomba kufafanuliwa maana ya dhana hizi zinazotumika katika vikao vya bunge letu. Dhana hizo ni KUTOA SHILINGI na pia KUSHIKIRIA MSHAHARA WA WAZIRI.
Nini maana ya dhana hizi mbili?