Kutoa maji mengi wakati wa kujamiiana

Mimi naomba kuuliza wakati nikiwa kwenye tendo zima la kujamiiana nashangaa kuona maji mengi kiasi kwamba naweza hata kuyakamua baada ya tendo kila ninapojaribu kumwweleza mwenzangu ni kitu gani ananiambia hajui.naomba ushauri ni ugonjwa aunikitugani pia yananinyima raha yalile tendo.
Jinsia yako ni ipi tafadhali?
 
Kudadeeki, binafsi nilikuwaga siamini hii kitu, ila nilipokutana na mmojawapo ndo nikaamini, wakati inatokea nilijua anajikojolea
 
Kama maji hayo hayana harufu mbaya basi hapo uko poa. Jikamulie kitu . Na usiendelee kutangaza hii kitu utapata application nyingi mno
 
Nakubaliana na wewe kabisa,wanawake wa aina hiyo tanzania wapo Bukoba kwa wingi sana na hata imekuwa kama kivutio kwa watu wanapoambiwa kuwa kuna wanawake wanarusha maji basi watu huenda kujaribu.Niburudani sana hasa kwa wanaume wanaojua mapenzi kwani unakuwa na uhakika kuwa mwenzako karidhika.
Pia nchini Uganda wanapatikana kwenye kabila moja linaitwa BANYANKOLE.
Tafiti ndigo niliyofanya ni kuwa pia chakula kinachangia -wanakula ndizi maarufu kama matoke.

Nakubaliana na ww kabisa, ndizi ni moja ya vyakula vinavyoongeza maji mengi kwa wanawake hata mwanaume pia hasa za kuiva zinafanya hayo maji kua mengi, kwa wanawake ambao wanakua na maji machache km unajua unaenda kukutana na mwenzako siku hio na unajua unatatizo la uke kua mkavu basi siku hio kula ndizi za kuiva km 5 hivi kwa siku nzima na matokeo yake utayaona.
 
I think you meant SIDE EFFECTS au MADHARA haya yawezakua kweli pia kama yule dume jike aliyefanyiwa injection ya CEMENT NA SUPERGLUE kwene makalio yake....!Dunia hii vituko haviishi
sijakuelewa kabisa hapa hebu nifafanulie zaidi cement ni nini na superglue niini?
 
Dah!!!:doh::doh::doh:Kweli nimeamini kwenye miti mingi hakuna wajenzi!!!Weweee wenzio wanaenda kwa waganga japo akipigwa walau apate hata vijiko viwili wewe unataka kwenda kwa waganga wayazuie????yani wewe nitajiri ujijui!!!unamali ya gharama hivi unaichezea????Sijui niseme nini hebu ni PM ntakupa dondoo za maji hayo!!!:confused3::thinking::rolleyes::rolleyes::rolleyes::redface::A S embarassed::):shock::A S-confused1::welcome::doh::A S wink::A S tongue::emptybath:
hebu nisaidie mm mkuu hahahahahaaaaaaaaaaa hujambo lakini sijakutia machoni muda mrefu
 
maji maji kwa wanawake utokea tu pale anapahisi utamu na utegemea na mme husika. Anaweza toa maji hata Bila kufika Ile atua yenyewe automatically kinembe kikiguswa na kupigwapigwa basi umwaga mithiri ya tap ya maji usipo kuwa mwangalifu uweza kufume adi usoni. Si ugongwa ila nature. Asa mkoa WA kagera balaa
 
Nakubaliana na wewe kabisa,wanawake wa aina hiyo tanzania wapo Bukoba kwa wingi sana na hata imekuwa kama kivutio kwa watu wanapoambiwa kuwa kuna wanawake wanarusha maji basi watu huenda kujaribu.Niburudani sana hasa kwa wanaume wanaojua mapenzi kwani unakuwa na uhakika kuwa mwenzako karidhika.
Pia nchini Uganda wanapatikana kwenye kabila moja linaitwa BANYANKOLE.
Tafiti ndigo niliyofanya ni kuwa pia chakula kinachangia -wanakula ndizi maarufu kama matoke.
kwa maana hiyo hata wachaga na wanyakyusa nao wanarusha kojo kiasi hicho kwa kuwa wanakula sana ndizi?
 
Sasa hapo tatizo ni nini? Labda jamaa anakufanya ufikirie vibaya ndio maana inakuharibia mashamsham.
We dada uwe unatembea na chupi extra kwenye begi, "cause you got some bomb ass pusy!!"
 
Back
Top Bottom