Mkuu Mi sina HAja ya kubishana na wewe kuhusu SIku ya kupata peaa yako baada ya kujaza fomu. Nilitoka pesa mwezi WA nne ilikuwa SIku ya Jnne nilipojaza fomu pesa nilipata ijumaa. Nikatoa pesa tena mwezi WA Saba pesa nilipata ñdani ya SIku mbili yaani siku mbili baada ya kujaza fomu. Kama humu kungekuwa safe Sana ningeweka namba ya Jamaa aliyeko makao makuu DSM apigiwe maana ndiye huwa nawasiliana Nate toka nmefungua akaunti kwao mi sizungumzii uzoefu wako hapa nazungumzia reality kabisa za juzi juzi Tu hapa pesa unapata baada ya SIku mbili baada ya kujaza fomu