Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,478
- 39,996
Tangu tumepata uhuru, kwa awamu zote 3, Tanzania imewahi kushughulia kesi kubwa 2 tuu za rushwa!, awamu hii ya Nne, imepeleka kesi kubwa 18 za Rushwa.
Absolom Kibanda kauliza kuhusu kauli ya rais kuhalalisha takrima - Dr. Hosea amemtetea mkuu wa nchi kuwa pale ametolea mfano tuu, na kukiri kuwa suala la takrima ni challenge.
Amemfagilia Kibanda na wanahabari wote wakiamua kulivalia njuga suala la rushwa kwenye magazeti yao, na kusisitiza "wewe Kibanda, mimi nakuaminia sana kwenye gazeti lako, ukiamua unaweza!".
mmh.. sidhani kama huyo anasema ukweli kuhusu hiyo idadi; hivi walimuuliza hizo kesi mbili ni zipi... maana wengine tunakumbuka mambo ya kina Simbaulanga...