Kuteswa na mapenzi mwisho miaka mingapi?

Kuteswa na mapenzi mwisho miaka mingapi?

Mimi ni kijana wa miaka 29 nina Kilo 97 naishi ndani ya Dar, ni mkaka mweusi, mfupi kiasi. wengi wanahisi mimi ni MUHA kutoka Kigoma kulingana na weusi wangu na unene ila kiukweli mimi ni mdigo kutoka Tanga paleee saharee.

Kijana mwenzenu mimi nateswa na mapenzi yani nateswa haswa sina khari Jamani. Nishaumizwa sana. Nishalia sana. Nishateswa mimi Ila ndio ivo huwa sikomi likitoka jike hili kuniumiza naingiza jike jingine moyoni no mala waaa.

Kwasasa naishi na mwanamke kabila lake ni MRANGI ni binti Mzuri sana, nilimt0ng0za akakubali ila ni single maza ana wat0t0 wawili ila kwangu haikuwa kesi, nimemuhamisha alip0kuwa anakaa na sasa naishi nae kwangu yeye na wanae wawili, Wanakula ugali wangu, nawapa nauli za shule Na kuwazingatia hii yote cuz niampenda mama yao.

Huko nyuma kama nilivyosema awali kuwa nishalizwa sana na mapenzi ila kwasasa nikahisi kwa huyu single maza nimepata pumziko ila ni Kivumbi hakuna cha afadhali, nimekuwa mtu wa kugongewa sana na watu wa mtaani, shemeji yenu anagawa sana UTAMU, nishamfumania sana ila nguvu ya kumuacha SINA, vinabaki kulia tu,kwasasa niseme ananinyanyasa mana hata unyumba sipewi anapewa mtu mwengine huk0 njee anaitwa EZE.

Jana nimekuta anasifiwa kwenye SMS kwa utundu aliotoa kwa jamaa mmoja aliemsevi EZE. Nimelia sana na nimes0mea kesi ila ananipuuza anasema nikumuacha sitapata mwanamke mremb0 kama yeye basi akiniambia ivo nakosa nguvu ya kumuacha.

Pia hata nikimuacha atakaekuja nae ni ivo ivo tu mana nishag0ngewa sana,nishaachwa sana. Sijui tatiz0 langu ni lipi mpaka nateswa ivi na mapenzi. Sina furaha na maisha ya kimapenzi na kuwa single siwezi.

Masela wananigongea mademu zangu,Masela wananichapia sana. Sijajua hapa na0mba ushauri au laa. Mana hata mi mwenyewe sijui nini nahitaji ila kikubwa sitaki kumuacha nampenda sana mpenzi wangu.

Ila kama eze up0 humu plz kaka achana na mpenzi wangu nampenda sana.
acha ujinga wewe.....
 
Mimi ni kijana wa miaka 29 nina Kilo 97 naishi ndani ya Dar, ni mkaka mweusi, mfupi kiasi. wengi wanahisi mimi ni MUHA kutoka Kigoma kulingana na weusi wangu na unene ila kiukweli mimi ni mdigo kutoka Tanga paleee saharee.

Kijana mwenzenu mimi nateswa na mapenzi yani nateswa haswa sina khari Jamani. Nishaumizwa sana. Nishalia sana. Nishateswa mimi Ila ndio ivo huwa sikomi likitoka jike hili kuniumiza naingiza jike jingine moyoni no mala waaa.

Kwasasa naishi na mwanamke kabila lake ni MRANGI ni binti Mzuri sana, nilimt0ng0za akakubali ila ni single maza ana wat0t0 wawili ila kwangu haikuwa kesi, nimemuhamisha alip0kuwa anakaa na sasa naishi nae kwangu yeye na wanae wawili, Wanakula ugali wangu, nawapa nauli za shule Na kuwazingatia hii yote cuz niampenda mama yao.

Huko nyuma kama nilivyosema awali kuwa nishalizwa sana na mapenzi ila kwasasa nikahisi kwa huyu single maza nimepata pumziko ila ni Kivumbi hakuna cha afadhali, nimekuwa mtu wa kugongewa sana na watu wa mtaani, shemeji yenu anagawa sana UTAMU, nishamfumania sana ila nguvu ya kumuacha SINA, vinabaki kulia tu,kwasasa niseme ananinyanyasa mana hata unyumba sipewi anapewa mtu mwengine huk0 njee anaitwa EZE.

Jana nimekuta anasifiwa kwenye SMS kwa utundu aliotoa kwa jamaa mmoja aliemsevi EZE. Nimelia sana na nimes0mea kesi ila ananipuuza anasema nikumuacha sitapata mwanamke mremb0 kama yeye basi akiniambia ivo nakosa nguvu ya kumuacha.

Pia hata nikimuacha atakaekuja nae ni ivo ivo tu mana nishag0ngewa sana,nishaachwa sana. Sijui tatiz0 langu ni lipi mpaka nateswa ivi na mapenzi. Sina furaha na maisha ya kimapenzi na kuwa single siwezi.

Masela wananigongea mademu zangu,Masela wananichapia sana. Sijajua hapa na0mba ushauri au laa. Mana hata mi mwenyewe sijui nini nahitaji ila kikubwa sitaki kumuacha nampenda sana mpenzi wangu.

Ila kama eze up0 humu plz kaka achana na mpenzi wangu nampenda sana.
Sasa kijana wa miaka 29 una kilo 97 halafu kifupiiii it's obvious ukipiga tako 2 unakojoa na kuhema juu juu na huwezi tena kurudia round ya pili huku ukimwacha mwanamke wako akiwa na minyege yake.

Fanya mazoezi dogo upunguze minyama zembe na uwe imara kitandani
 
Unatokea tanga unateswa na mapenzi kweli mara ya mwisho kusikia mtu wa tanga kajiua kisa mapenzi ni lini we sio mtanga itakuwa ni muha kama ulivyosema.
 
Mimi ni kijana wa miaka 29 nina Kilo 97 naishi ndani ya Dar, ni mkaka mweusi, mfupi kiasi. wengi wanahisi mimi ni MUHA kutoka Kigoma kulingana na weusi wangu na unene ila kiukweli mimi ni mdigo kutoka Tanga paleee saharee.

Kijana mwenzenu mimi nateswa na mapenzi yani nateswa haswa sina khari Jamani. Nishaumizwa sana. Nishalia sana. Nishateswa mimi Ila ndio ivo huwa sikomi likitoka jike hili kuniumiza naingiza jike jingine moyoni no mala waaa.

Kwasasa naishi na mwanamke kabila lake ni MRANGI ni binti Mzuri sana, nilimt0ng0za akakubali ila ni single maza ana wat0t0 wawili ila kwangu haikuwa kesi, nimemuhamisha alip0kuwa anakaa na sasa naishi nae kwangu yeye na wanae wawili, Wanakula ugali wangu, nawapa nauli za shule Na kuwazingatia hii yote cuz niampenda mama yao.

Huko nyuma kama nilivyosema awali kuwa nishalizwa sana na mapenzi ila kwasasa nikahisi kwa huyu single maza nimepata pumziko ila ni Kivumbi hakuna cha afadhali, nimekuwa mtu wa kugongewa sana na watu wa mtaani, shemeji yenu anagawa sana UTAMU, nishamfumania sana ila nguvu ya kumuacha SINA, vinabaki kulia tu,kwasasa niseme ananinyanyasa mana hata unyumba sipewi anapewa mtu mwengine huk0 njee anaitwa EZE.

Jana nimekuta anasifiwa kwenye SMS kwa utundu aliotoa kwa jamaa mmoja aliemsevi EZE. Nimelia sana na nimes0mea kesi ila ananipuuza anasema nikumuacha sitapata mwanamke mremb0 kama yeye basi akiniambia ivo nakosa nguvu ya kumuacha.

Pia hata nikimuacha atakaekuja nae ni ivo ivo tu mana nishag0ngewa sana,nishaachwa sana. Sijui tatiz0 langu ni lipi mpaka nateswa ivi na mapenzi. Sina furaha na maisha ya kimapenzi na kuwa single siwezi.

Masela wananigongea mademu zangu,Masela wananichapia sana. Sijajua hapa na0mba ushauri au laa. Mana hata mi mwenyewe sijui nini nahitaji ila kikubwa sitaki kumuacha nampenda sana mpenzi wangu.

Ila kama eze up0 humu plz kaka achana na mpenzi wangu nampenda sana.
Sorry lakini! tatizo wewe ni mshamba
 
Huna nguvu za kiume mzee ndio maana unagongewa

Kulo 97 halafu mfupi maana yake una uzito mkubwa wa ZIADA ambapo utafeli tu kwenye shoo
Na kuna nyuzi nyingi tu analalamika ana kibamia na pia anakojoa haraka kama jogoo, pia hawezi kurudia tendo, sasa kwa hilo kwanini asigongewe, badala atibu matatizo yake, analalamika.
 
Yan umefanya ku under hadi_0 ila washez washatupia goli mbili first half...nenda gym upunguze uzito..huo ubonge humsugui vzur huyo mwanamke...unampaka jasho tu kama wanawake wengi wanavyojinasibu
 
Mtoa mada hapo utakuwa unafanana na gunia la chumvi, punguza huo mwili, kisha hama hapo, maana mtaa mzima wamezoea kukuchapia, utakuta washajua kabisa una kibamia na nguvu za kiume huna, kama tako mbili tu unakojoa, unategemea nini.
 
Wewe bado hujaanza. Sababu inaonekana hata balehe bado!

Haya nani amekuambia “o” na 0” ni kitu kimoja?
Hata mimi kanishangaza pia, ila labda amevurugwa huyu afsa, kumlea malaya ni kazi sana akili zimemruka aisee
 
Back
Top Bottom