Kuteswa na mapenzi mwisho miaka mingapi?

Kuteswa na mapenzi mwisho miaka mingapi?

Kumbe n0w sina akili eeh..
Sio kwamba huna akili huu unana wako ndo mzuri wa kujitafutia maisha kwanza mkuuuuu hayo mambo utakutana nayo huko 45+ utakuwa na hekima zaidi na utakuwa umejifunza mengi maishani 29 ni umri mdogo sana kulilia mapenzi mkuuu
 
Mimi ni kijana wa miaka 29 Nina Kil0 97 Naishi ndani ya dar,Ni mkaka mweusi,mfupi kiasi...Wengi wanahisi mimi ni MUHA kut0ka kig0ma kulingana na weusi wangu na unene ila kiukweli mimi ni mdig0 kut0ka Tanga paleee saharee....

Kijana mwenzenu mimi nateswa na mapenzi yani nateswa haswa sina khari Jamani....Nishaumizwa sana...Nishalia sana...Nishateswa mimi Ila ndi0 iv0 huwa sik0mi likit0ka jike hili kuniumiza naingiza jike jingine m0y0ni n0 mala waaa....


Kwasasa naishi na mwanamke kabila lake ni MRANGI ni binti Mzuri sana,Nilimt0ng0za akakubali ila ni single maza ana wat0t0 wawili ila kwangu haikuwa kesi,Nimemuhamisha alip0kuwa anakaa na sasa naishi nae kwangu yeye na wanae wawili, Wanakula ugali wangu,nawapa nauli za shule Na kuwazingatia hii y0te cuz niampenda mama ya0...

Huk0 nyuma kama nilivy0sema awali kuwa nishalizwa sana na mapenzi ila kwasasa Nikahisi kwa huyu single maza nimepata pumzik0 ila ni Kivumbi Hakuna cha afadhali,Nimekuwa mtu wa kug0ngewa sana na watu wa mtaani,shemeji yenu anagawa sana UTAMU,nishamfumania sana ila nguvu ya kumuacha SINA...nabaki kulia tu,kwasasa niseme ananinyanyasa mana hata unyumba sipewi anapewa mtu mwengine huk0 njee anaitwa EZE...

Jana nimekuta anasifiwa kwenye SMS kwa utundu aliotoa kwa jamaa mmoja aliemsevi EZE....Nimelia sana na nimes0mea kesi ila ananipuuza anasema nikumuacha sitapata mwanamke mremb0 kama yeye basi akiniambia iv0 nak0sa nguvu ya kumuacha....

Pia Hata nikimuacha atakaekuja nae ni iv0 iv0 tu mana nishag0ngewa sana,nishaachwa sana...Sijui tatiz0 langu ni lipi mpk nateswa ivi na mapenzi...

Sina furaha na maisha ya kimapenzi na kuwa single siwezi...

Masela wananig0ngea mademu zangu,Masela wananichapia sana....

Sijajua hapa na0mba ushauri au laa... Mana hata mi mwenyewe sijui nini nahitaji ila kikubwa sitaki kumuacha nampenda sana mpenzi wangu....

Ila kama eze up0 humu plz kaka achana na mpenzi wangu nampenda sana...
Shida imeanzia ulipo mdate singo Maza tena watoto wawili na ww ni kijana tafuta mwanamke binti,pia mnapenda sana warembo kimuonekano wakati hao ndio wagongwaji mabinti wakawaida wapo waliotulia kitu mnato mnahangaika na matatizo pambana.
 
one man down, one man down! Aise umepagawa na nini kijana?

Mental illness is real walah

Na kwa vile umechagua 'Jela ya Mapenzi' basi sisi wananzengo hatuna la kuongeza maana huenda ndipo ilipo furaha yako. Endelea kusubiri sumu igeuke asali!
(Credit to C-sir, Kifungo Huru )
 
Mimi ni kijana wa miaka 29 Nina Kil0 97 Naishi ndani ya dar,Ni mkaka mweusi,mfupi kiasi...Wengi wanahisi mimi ni MUHA kut0ka kig0ma kulingana na weusi wangu na unene ila kiukweli mimi ni mdig0 kut0ka Tanga paleee saharee....

Kijana mwenzenu mimi nateswa na mapenzi yani nateswa haswa sina khari Jamani....Nishaumizwa sana...Nishalia sana...Nishateswa mimi Ila ndi0 iv0 huwa sik0mi likit0ka jike hili kuniumiza naingiza jike jingine m0y0ni n0 mala waaa....


Kwasasa naishi na mwanamke kabila lake ni MRANGI ni binti Mzuri sana,Nilimt0ng0za akakubali ila ni single maza ana wat0t0 wawili ila kwangu haikuwa kesi,Nimemuhamisha alip0kuwa anakaa na sasa naishi nae kwangu yeye na wanae wawili, Wanakula ugali wangu,nawapa nauli za shule Na kuwazingatia hii y0te cuz niampenda mama ya0...

Huk0 nyuma kama nilivy0sema awali kuwa nishalizwa sana na mapenzi ila kwasasa Nikahisi kwa huyu single maza nimepata pumzik0 ila ni Kivumbi Hakuna cha afadhali,Nimekuwa mtu wa kug0ngewa sana na watu wa mtaani,shemeji yenu anagawa sana UTAMU,nishamfumania sana ila nguvu ya kumuacha SINA...nabaki kulia tu,kwasasa niseme ananinyanyasa mana hata unyumba sipewi anapewa mtu mwengine huk0 njee anaitwa EZE...

Jana nimekuta anasifiwa kwenye SMS kwa utundu aliotoa kwa jamaa mmoja aliemsevi EZE....Nimelia sana na nimes0mea kesi ila ananipuuza anasema nikumuacha sitapata mwanamke mremb0 kama yeye basi akiniambia iv0 nak0sa nguvu ya kumuacha....

Pia Hata nikimuacha atakaekuja nae ni iv0 iv0 tu mana nishag0ngewa sana,nishaachwa sana...Sijui tatiz0 langu ni lipi mpk nateswa ivi na mapenzi...

Sina furaha na maisha ya kimapenzi na kuwa single siwezi...

Masela wananig0ngea mademu zangu,Masela wananichapia sana....

Sijajua hapa na0mba ushauri au laa... Mana hata mi mwenyewe sijui nini nahitaji ila kikubwa sitaki kumuacha nampenda sana mpenzi wangu....

Ila kama eze up0 humu plz kaka achana na mpenzi wangu nampenda sana...
Huna nguvu za kiume mzee ndio maana unagongewa

Kulo 97 halafu mfupi maana yake una uzito mkubwa wa ZIADA ambapo utafeli tu kwenye shoo
 
Hahahaaa...... Nimependa mstari wa mwisho, kama Eze yuko humu unaomba aachane na mkeo.

Pole sana mkuu. Ila nahisi kama una kibamia.
 
Mimi ni kijana wa miaka 29 Nina Kil0 97 Naishi ndani ya dar,Ni mkaka mweusi,mfupi kiasi...Wengi wanahisi mimi ni MUHA kut0ka kig0ma kulingana na weusi wangu na unene ila kiukweli mimi ni mdig0 kut0ka Tanga paleee saharee....

Kijana mwenzenu mimi nateswa na mapenzi yani nateswa haswa sina khari Jamani....Nishaumizwa sana...Nishalia sana...Nishateswa mimi Ila ndi0 iv0 huwa sik0mi likit0ka jike hili kuniumiza naingiza jike jingine m0y0ni n0 mala waaa....


Kwasasa naishi na mwanamke kabila lake ni MRANGI ni binti Mzuri sana,Nilimt0ng0za akakubali ila ni single maza ana wat0t0 wawili ila kwangu haikuwa kesi,Nimemuhamisha alip0kuwa anakaa na sasa naishi nae kwangu yeye na wanae wawili, Wanakula ugali wangu,nawapa nauli za shule Na kuwazingatia hii y0te cuz niampenda mama ya0...

Huk0 nyuma kama nilivy0sema awali kuwa nishalizwa sana na mapenzi ila kwasasa Nikahisi kwa huyu single maza nimepata pumzik0 ila ni Kivumbi Hakuna cha afadhali,Nimekuwa mtu wa kug0ngewa sana na watu wa mtaani,shemeji yenu anagawa sana UTAMU,nishamfumania sana ila nguvu ya kumuacha SINA...nabaki kulia tu,kwasasa niseme ananinyanyasa mana hata unyumba sipewi anapewa mtu mwengine huk0 njee anaitwa EZE...

Jana nimekuta anasifiwa kwenye SMS kwa utundu aliotoa kwa jamaa mmoja aliemsevi EZE....Nimelia sana na nimes0mea kesi ila ananipuuza anasema nikumuacha sitapata mwanamke mremb0 kama yeye basi akiniambia iv0 nak0sa nguvu ya kumuacha....

Pia Hata nikimuacha atakaekuja nae ni iv0 iv0 tu mana nishag0ngewa sana,nishaachwa sana...Sijui tatiz0 langu ni lipi mpk nateswa ivi na mapenzi...

Sina furaha na maisha ya kimapenzi na kuwa single siwezi...

Masela wananig0ngea mademu zangu,Masela wananichapia sana....

Sijajua hapa na0mba ushauri au laa... Mana hata mi mwenyewe sijui nini nahitaji ila kikubwa sitaki kumuacha nampenda sana mpenzi wangu....

Ila kama eze up0 humu plz kaka achana na mpenzi wangu nampenda sana...
Huna nguvu za kiume mzee ndio maana unagongewa

Kulo 97 halafu mfupi maana yake una uzito mkubwa wa ZIADA ambapo utafeli tu kwenye
 
one man down, one man down! Aise umepagawa na nini kijana?

Mental illness is real walah

Na kwa vile umechagua 'Jela ya Mapenzi' basi sisi wananzengo hatuna la kuongeza maana huenda ndipo ilipo furaha yako. Endelea kusubiri sumu igeuke asali!
(Credit to C-sir, Kifungo Huru )
Nasikizaga sana hii ng0ma aisee..
 
Mimi ni kijana wa miaka 29 Nina Kil0 97 Naishi ndani ya dar,Ni mkaka mweusi,mfupi kiasi...Wengi wanahisi mimi ni MUHA kut0ka kig0ma kulingana na weusi wangu na unene ila kiukweli mimi ni mdig0 kut0ka Tanga paleee saharee....

Kijana mwenzenu mimi nateswa na mapenzi yani nateswa haswa sina khari Jamani....Nishaumizwa sana...Nishalia sana...Nishateswa mimi Ila ndi0 iv0 huwa sik0mi likit0ka jike hili kuniumiza naingiza jike jingine m0y0ni n0 mala waaa....


Kwasasa naishi na mwanamke kabila lake ni MRANGI ni binti Mzuri sana,Nilimt0ng0za akakubali ila ni single maza ana wat0t0 wawili ila kwangu haikuwa kesi,Nimemuhamisha alip0kuwa anakaa na sasa naishi nae kwangu yeye na wanae wawili, Wanakula ugali wangu,nawapa nauli za shule Na kuwazingatia hii y0te cuz niampenda mama ya0...

Huk0 nyuma kama nilivy0sema awali kuwa nishalizwa sana na mapenzi ila kwasasa Nikahisi kwa huyu single maza nimepata pumzik0 ila ni Kivumbi Hakuna cha afadhali,Nimekuwa mtu wa kug0ngewa sana na watu wa mtaani,shemeji yenu anagawa sana UTAMU,nishamfumania sana ila nguvu ya kumuacha SINA...nabaki kulia tu,kwasasa niseme ananinyanyasa mana hata unyumba sipewi anapewa mtu mwengine huk0 njee anaitwa EZE...

Jana nimekuta anasifiwa kwenye SMS kwa utundu aliotoa kwa jamaa mmoja aliemsevi EZE....Nimelia sana na nimes0mea kesi ila ananipuuza anasema nikumuacha sitapata mwanamke mremb0 kama yeye basi akiniambia iv0 nak0sa nguvu ya kumuacha....

Pia Hata nikimuacha atakaekuja nae ni iv0 iv0 tu mana nishag0ngewa sana,nishaachwa sana...Sijui tatiz0 langu ni lipi mpk nateswa ivi na mapenzi...

Sina furaha na maisha ya kimapenzi na kuwa single siwezi...

Masela wananig0ngea mademu zangu,Masela wananichapia sana....

Sijajua hapa na0mba ushauri au laa... Mana hata mi mwenyewe sijui nini nahitaji ila kikubwa sitaki kumuacha nampenda sana mpenzi wangu....

Ila kama eze up0 humu plz kaka achana na mpenzi wangu nampenda sana...
Acha ugongewe tu kilo 97 za nini zote?
 
Dah! Mimi nimeishi nikijua wavulana wote wa hivi maana we haujawa mwanaume bado walipelekwa na kumalizwa na lile gharika wakaisha kumbe wapo??

Enewei, TAFUTA PESA, TAFUTA PESA, TAFUTA PESA kijana mapenzi utayatesa baada ya kukutesa
 
Shida imeanzia ulipo mdate singo Maza tena watoto wawili na ww ni kijana tafuta mwanamke binti,pia mnapenda sana warembo kimuonekano wakati hao ndio wagongwaji mabinti wakawaida wapo waliotulia kitu mnato mnahangaika na matatizo pambana.
Kama nishakuwa na0 sana amba0 hawana wat0t0 ila mwend0 wa kuumizwa vile vile tu hakuna cha afadhali...nikahisi kwa huyu sing0 maza ana akili cuz kapitia mengi ila hakuna kitu...
 
Back
Top Bottom