Kuteswa na mapenzi mwisho miaka mingapi?

Kuteswa na mapenzi mwisho miaka mingapi?

1.Hizo 0 badala ya o
2.Ufupi
3.ubonge wa kilo 97
4.Nina uhakika chini ni sh.100
5.........em jipende mwenyewe tafadhali utaumia...binadamu tuna ubaguz sana....ni sawa na wewe ungekuwa mrefu,dudu ndefu,una pesa....huyo singld mom usingeishi nae kabisa.
 
Kilo 97 halafu mfupi jumlisha urojo wa kitangatanga unategemea usigongewe?, hizo kilo punguza acha kula hovyo hovyo.
Halafu kingine; Acha utoto, mwanaume huwezi kuja kulia lia mtandaoni pasipo kufanya maamuzi. Mm km mm siwezi kulea mwanamke na vifurushi vyake halafu ningongewe, fukuza hao mbwa kwako maana udhaifu wako ashaujua.
 
Kilo 97 halafu mfupi jumlisha urojo wa kitangatanga unategemea usigongewe?, hizo kilo punguza acha kula hovyo hovyo.
Halafu kingine; Acha utoto, mwanaume huwezi kuja kulia lia mtandaoni pasipo kufanya maamuzi. Mm km mm siwezi kulea mwanamke na vifurushi vyake halafu ningongewe, fukuza hao mbwa kwako maana udhaifu wako ashaujua.
Umesema mbwa?
 
Kwanza warangi hawajui kunyima utamu... Kosa la pili umeoa singo maza tena ana vifaranga viwili tena vinasoma... Kosa la tatu hukujua warangi wanaroga wanaume sana... Kosa la nne wewe ni mwanaume uliyekubali kuwa mpumbavu...
Naona kila dalili utakuja kujitoa uhai mbeleni... Nakushauri achana na wanawake, wazalishe then wakae mbali na wewe... Mdogo angu wanawake watakuua wanawake watakupa kisukari na presha... Mdogo una moyo mdogo sana achana na wanawake achana na ndoa...
KATAA NDOA UISHI KWA AMANI UIMARIKE KIUCHUMI
 
Mimi ni kijana wa miaka 29 nina Kilo 97 naishi ndani ya Dar, ni mkaka mweusi, mfupi kiasi. wengi wanahisi mimi ni MUHA kutoka Kigoma kulingana na weusi wangu na unene ila kiukweli mimi ni mdigo kutoka Tanga paleee saharee.

Kijana mwenzenu mimi nateswa na mapenzi yani nateswa haswa sina khari Jamani. Nishaumizwa sana. Nishalia sana. Nishateswa mimi Ila ndio ivo huwa sikomi likitoka jike hili kuniumiza naingiza jike jingine moyoni no mala waaa.

Kwasasa naishi na mwanamke kabila lake ni MRANGI ni binti Mzuri sana, nilimt0ng0za akakubali ila ni single maza ana wat0t0 wawili ila kwangu haikuwa kesi, nimemuhamisha alip0kuwa anakaa na sasa naishi nae kwangu yeye na wanae wawili, Wanakula ugali wangu, nawapa nauli za shule Na kuwazingatia hii yote cuz niampenda mama yao.

Huko nyuma kama nilivyosema awali kuwa nishalizwa sana na mapenzi ila kwasasa nikahisi kwa huyu single maza nimepata pumziko ila ni Kivumbi hakuna cha afadhali, nimekuwa mtu wa kugongewa sana na watu wa mtaani, shemeji yenu anagawa sana UTAMU, nishamfumania sana ila nguvu ya kumuacha SINA, vinabaki kulia tu,kwasasa niseme ananinyanyasa mana hata unyumba sipewi anapewa mtu mwengine huk0 njee anaitwa EZE.

Jana nimekuta anasifiwa kwenye SMS kwa utundu aliotoa kwa jamaa mmoja aliemsevi EZE. Nimelia sana na nimes0mea kesi ila ananipuuza anasema nikumuacha sitapata mwanamke mremb0 kama yeye basi akiniambia ivo nakosa nguvu ya kumuacha.

Pia hata nikimuacha atakaekuja nae ni ivo ivo tu mana nishag0ngewa sana,nishaachwa sana. Sijui tatiz0 langu ni lipi mpaka nateswa ivi na mapenzi. Sina furaha na maisha ya kimapenzi na kuwa single siwezi.

Masela wananigongea mademu zangu,Masela wananichapia sana. Sijajua hapa na0mba ushauri au laa. Mana hata mi mwenyewe sijui nini nahitaji ila kikubwa sitaki kumuacha nampenda sana mpenzi wangu.

Ila kama eze up0 humu plz kaka achana na mpenzi wangu nampenda sana.

haya mambo sio ya kuchekana ila nicheke kwanzaa

Nawakumbusha “kama unataka mwingine akupende basi anza kujipenda wewe” yan jipende mpaka mtu akikwambia huwezi kupata mtu kama mimi unaishia kucheka afuu unamwambia duniani kuna watu 8Billion wewe wa kazi gani
 
Mimi ni kijana wa miaka 29 nina Kilo 97 naishi ndani ya Dar, ni mkaka mweusi, mfupi kiasi. wengi wanahisi mimi ni MUHA kutoka Kigoma kulingana na weusi wangu na unene ila kiukweli mimi ni mdigo kutoka Tanga paleee saharee.

Kijana mwenzenu mimi nateswa na mapenzi yani nateswa haswa sina khari Jamani. Nishaumizwa sana. Nishalia sana. Nishateswa mimi Ila ndio ivo huwa sikomi likitoka jike hili kuniumiza naingiza jike jingine moyoni no mala waaa.

Kwasasa naishi na mwanamke kabila lake ni MRANGI ni binti Mzuri sana, nilimt0ng0za akakubali ila ni single maza ana wat0t0 wawili ila kwangu haikuwa kesi, nimemuhamisha alip0kuwa anakaa na sasa naishi nae kwangu yeye na wanae wawili, Wanakula ugali wangu, nawapa nauli za shule Na kuwazingatia hii yote cuz niampenda mama yao.

Huko nyuma kama nilivyosema awali kuwa nishalizwa sana na mapenzi ila kwasasa nikahisi kwa huyu single maza nimepata pumziko ila ni Kivumbi hakuna cha afadhali, nimekuwa mtu wa kugongewa sana na watu wa mtaani, shemeji yenu anagawa sana UTAMU, nishamfumania sana ila nguvu ya kumuacha SINA, vinabaki kulia tu,kwasasa niseme ananinyanyasa mana hata unyumba sipewi anapewa mtu mwengine huk0 njee anaitwa EZE.

Jana nimekuta anasifiwa kwenye SMS kwa utundu aliotoa kwa jamaa mmoja aliemsevi EZE. Nimelia sana na nimes0mea kesi ila ananipuuza anasema nikumuacha sitapata mwanamke mremb0 kama yeye basi akiniambia ivo nakosa nguvu ya kumuacha.

Pia hata nikimuacha atakaekuja nae ni ivo ivo tu mana nishag0ngewa sana,nishaachwa sana. Sijui tatiz0 langu ni lipi mpaka nateswa ivi na mapenzi. Sina furaha na maisha ya kimapenzi na kuwa single siwezi.

Masela wananigongea mademu zangu,Masela wananichapia sana. Sijajua hapa na0mba ushauri au laa. Mana hata mi mwenyewe sijui nini nahitaji ila kikubwa sitaki kumuacha nampenda sana mpenzi wangu.

Ila kama eze up0 humu plz kaka achana na mpenzi wangu nampenda sana.
una miaka 29 halafu una kilo 97 aisee wewe ni kifurushi cha mahindi utagongewa tuuu
 
ushaonyesha uzaifu kwa huyo manzi wako,na asha kuweka kwenye kumi na nane zake huchomowi we endelea kuwa msukule wa kulea familia yake
 
Kwanza warangi hawajui kunyima utamu... Kosa la pili umeoa singo maza tena ana vifaranga viwili tena vinasoma... Kosa la tatu hukujua warangi wanaroga wanaume sana... Kosa la nne wewe ni mwanaume uliyekubali kuwa mpumbavu...
Naona kila dalili utakuja kujitoa uhai mbeleni... Nakushauri achana na wanawake, wazalishe then wakae mbali na wewe... Mdogo angu wanawake watakuua wanawake watakupa kisukari na presha... Mdogo una moyo mdogo sana achana na wanawake achana na ndoa...
KATAA NDOA UISHI KWA AMANI UIMARIKE KIUCHUMI
Mkuu nakazia hapo kwamba warangi ni tatizo sana,..sijui wana pepo la ngono
 
Mimi ni kijana wa miaka 29 nina Kilo 97 naishi ndani ya Dar, ni mkaka mweusi, mfupi kiasi. wengi wanahisi mimi ni MUHA kutoka Kigoma kulingana na weusi wangu na unene ila kiukweli mimi ni mdigo kutoka Tanga paleee saharee.

Kijana mwenzenu mimi nateswa na mapenzi yani nateswa haswa sina khari Jamani. Nishaumizwa sana. Nishalia sana. Nishateswa mimi Ila ndio ivo huwa sikomi likitoka jike hili kuniumiza naingiza jike jingine moyoni no mala waaa.

Kwasasa naishi na mwanamke kabila lake ni MRANGI ni binti Mzuri sana, nilimt0ng0za akakubali ila ni single maza ana wat0t0 wawili ila kwangu haikuwa kesi, nimemuhamisha alip0kuwa anakaa na sasa naishi nae kwangu yeye na wanae wawili, Wanakula ugali wangu, nawapa nauli za shule Na kuwazingatia hii yote cuz niampenda mama yao.

Huko nyuma kama nilivyosema awali kuwa nishalizwa sana na mapenzi ila kwasasa nikahisi kwa huyu single maza nimepata pumziko ila ni Kivumbi hakuna cha afadhali, nimekuwa mtu wa kugongewa sana na watu wa mtaani, shemeji yenu anagawa sana UTAMU, nishamfumania sana ila nguvu ya kumuacha SINA, vinabaki kulia tu,kwasasa niseme ananinyanyasa mana hata unyumba sipewi anapewa mtu mwengine huk0 njee anaitwa EZE.

Jana nimekuta anasifiwa kwenye SMS kwa utundu aliotoa kwa jamaa mmoja aliemsevi EZE. Nimelia sana na nimes0mea kesi ila ananipuuza anasema nikumuacha sitapata mwanamke mremb0 kama yeye basi akiniambia ivo nakosa nguvu ya kumuacha.

Pia hata nikimuacha atakaekuja nae ni ivo ivo tu mana nishag0ngewa sana,nishaachwa sana. Sijui tatiz0 langu ni lipi mpaka nateswa ivi na mapenzi. Sina furaha na maisha ya kimapenzi na kuwa single siwezi.

Masela wananigongea mademu zangu,Masela wananichapia sana. Sijajua hapa na0mba ushauri au laa. Mana hata mi mwenyewe sijui nini nahitaji ila kikubwa sitaki kumuacha nampenda sana mpenzi wangu.

Ila kama eze up0 humu plz kaka achana na mpenzi wangu nampenda sana.
Kilo 97 mkuu afu mfupi unategemea usigongewe mwanamke wewe umekua mungu. Fanya mazoezi sana upungue uzito hadi kilo 70 ama chini ya hapo, kingine tafuta pesa and kama hauwezi kupeleka moto wa sawasawa kwa shemeji basi utafute mwanamke nje huko tena sio mwanamke tafuta wanwake akijua sio ishu kwake ataanza kuona wivu and ataacha kugongwa atumie mda mwingi kukufuatilia we gonga ovyo tu hadi majirani hakuna mwanamke anaweza kulivumilia hilo. Kama una beki 3 pia chapa iende tena ugonge wanawake ambao ni wakali na waschana wadogo kuliko yeye
 
Back
Top Bottom