kupelwa
JF-Expert Member
- Aug 24, 2011
- 1,087
- 450
kutetea kauli zisizo mashiko kisa mtoto wa rais ni ukiukwaji wa kikatiba na sheria za nchi .Pia lazima tulinde maadili ya masilahi ya umma.We lini ulisikia watoto wa rais mwinyi , rais nyerere, mkapa walikuwa wasemaji wa Ikulu kama si kulewa fedha za wizi.Je hawa watoto wa maraisi hao hawakuwa na shida na masilahi yao binafsi kuitumia ikulu?jamani tuwe wauungwana tujali masilahi ya umma .Kutumia che na madaraka ya mtu vibaya ni kinyume cha sheria na katiba ya nchi.