Jamani out of nowhere tu TV yangu aina ya Skyworth imezingua na kuzima na ukiwasha inaanza kisha kuzima tena; Fundi kaja ananiambia iyo internal system yote inabidi ibadilishwe 180k; yaani mafundi wa Bongo hamna ubunifu mpk mbadili kila kitu??? Na bei yote hii? Km kuna mtu umu anayejua hili tatizo who can help; nitashukuru. Iyo 180k kwa sasa kwa kweli sina.
Jamani out of nowhere tu TV yangu aina ya Skyworth imezingua na kuzima na ukiwasha inaanza kisha kuzima tena; Fundi kaja ananiambia iyo internal system yote inabidi ibadilishwe 180k; yaani mafundi wa Bongo hamna ubunifu mpk mbadili kila kitu??? Na bei yote hii? Km kuna mtu umu anayejua hili tatizo who can help; nitashukuru. Iyo 180k kwa sasa kwa kweli sina. View attachment 2965228View attachment 2965229
Jamani out of nowhere tu TV yangu aina ya Skyworth imezingua na kuzima na ukiwasha inaanza kisha kuzima tena; Fundi kaja ananiambia iyo internal system yote inabidi ibadilishwe 180k; yaani mafundi wa Bongo hamna ubunifu mpk mbadili kila kitu??? Na bei yote hii? Km kuna mtu umu anayejua hili tatizo who can help; nitashukuru. Iyo 180k kwa sasa kwa kweli sina. View attachment 2965228View attachment 2965229
0763 476 356 fundi huyu kama upo Dar ...Bei yake haizidi 50 number yake
Mafundi wengine Ni matapeli..nikipata Tatizo nikakuuliza fundi ananiambia laki2 alivyokuja aliitengeneza Kwa 50 huyo rasi..Ila Hawa Wa mitandaoni alitaka laki2
Cjakurupuka; cpendi me nipo serious nauliza kitu then mtu anakuja anajibu tu ili mradi. TV kuungua nani kasema imeungua? C nimeelezea matatizo yote na shuda yangu then yeye anasema iuze tena 30k. 🤐 pia ni jibu.