Nyakipambo
JF-Expert Member
- Nov 10, 2011
- 435
- 141
Wana JF,
Nimepita sehemu nikakuta jamaa zangu wanabishana kuwa kuna rafiki yao mmoja nyota yake imechukuliwa na sasa kuna mtu wanamhisi anatembelea nyota ya huyo jamaa hali iliyopelekea maisha ya huyo aliyechukuliwa nyota yake yawe mabaya ilhali ya yule aliyechukua nyota yamekuwa safi.
Naombeni mnijuze:
1. Kutembelea nyota ya mtu maana yake nini?
2. Nitajuaje nyota yangu imechukuliwa?
3. Nyota yamtu inakaa wapi na mimi nianze kuiwekea ulinzi isije kuchukuliwa?
Nimepita sehemu nikakuta jamaa zangu wanabishana kuwa kuna rafiki yao mmoja nyota yake imechukuliwa na sasa kuna mtu wanamhisi anatembelea nyota ya huyo jamaa hali iliyopelekea maisha ya huyo aliyechukuliwa nyota yake yawe mabaya ilhali ya yule aliyechukua nyota yamekuwa safi.
Naombeni mnijuze:
1. Kutembelea nyota ya mtu maana yake nini?
2. Nitajuaje nyota yangu imechukuliwa?
3. Nyota yamtu inakaa wapi na mimi nianze kuiwekea ulinzi isije kuchukuliwa?