Kutembea ukiwa usingizini

Kuna Bwana mmoja yeye alikua tatizo hilo. Siku moja kaamka kaenda jikoni kapika chai na akanywa, wakati anarudi kitandani akajigonga kwenye mbao ya mlango kichwani akazimia, alipopata fahamu nakuelezwa alichokifanya akakataa.
 
Kuna Bwana mmoja yeye alikua tatizo hilo. Siku moja kaamka kaenda jikoni kapika chai na akanywa, wakati anarudi kitandani akajigonga kwenye mbao ya mlango kichwani akazimia, alipopata fahamu nakuelezwa alichokifanya akakataa.
Inawezekana kabisa kwakuwa hafanyi kwa fahamu za utashi wake
 
Kwa baadhi ambao hawana tatizo lingine lolote lakini huwa mahiri na waliobobea kwenye fikra za kufikirika hufikia kutengeneza matendo halisi kwenye ufahamu na kujikuta wanayatekeleza usingizini bila utashi wa nafsi
Kwa mfano kama umelala ww na mkeo mmoja kulia mwingine kushoto,alafu unastuka katikati ya usiku na kujikuta ww umelala kushoto mkeo kulia,yani mmebadilishana maeneo bila kujua,je,hili nalo linahusiana na mada hii?
 
Kwa mfano kama umelala ww na mkeo mmoja kulia mwingine kushoto,alafu unastuka katikati ya usiku na kujikuta ww umelala kushoto mkeo kulia,yani mmebadilishana maeneo bila kujua,je,hili nalo linahusiana na mada hii?
Mmh nipe muda
 
Kwa baadhi ambao hawana tatizo lingine lolote lakini huwa mahiri na waliobobea kwenye fikra za kufikirika hufikia kutengeneza matendo halisi kwenye ufahamu na kujikuta wanayatekeleza usingizini bila utashi wa nafsi
Kihospitali wanahusishasha na ugonjwa wa kifafa cha usingizi kwahiyo mtu anayesumbuliwa na hali hiyo anashauriwa kumuona tabibu wa magonjwa ya ndani
 
Kihospitali wanahusishasha na ugonjwa wa kifafa cha usingizi kwahiyo mtu anayesumbuliwa na hali hiyo anashauriwa kumuona tabibu wa magonjwa ya ndani
Yeah lakini sidhani kama ni kesi zote
 
Hii haina uhusiano kabisa na kutembea ukiwa usingizi, wewe ilikuwa ni michezo ya kichawi au wanga
Matendo ya kutembea usingizini hutendeka kwa mpangio na bila kelele na mhusika huenda na kurudi bila kujitambua na kuendelea na usingizi wake
Je yule ambaye alikua anamchungulia pengine anaweza kua Mwanga?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…