Kutembea na mwanaume zaidi ya mmoja na wakati umeolewa; ni tamaa au umalaya?

Ukiolewa tayari una mume je? inakuaje unakua na kibusitani hapohapo
unaongeza tena kibustani cha pili hii nitamaa au umalaya.

Mimi huwa sielewi inawezekana vipi mwanamke kuwa na mwanamme mmoja na mwanamme kuwa na mwanamke mmoja? Katika ndoa lazima kuwe na "vibustani" angalau viwili au hata vinne kama hali inaruhusu...!
 
Kama anakibamia utawezaje kukirefusha? Si mpaka utoke nje utafute mwenye kama mguu wa mtoto

kibamia siyo tatizo wewe jali kama anakukuna unafika mwisho wa safari .ukiwa na tamaa utafuta mno wenye kuwa na mguu wa mtoto mwisho ni mauti
 
kibamia siyo tatizo wewe jali kama anakukuna unafika mwisho wa safari .ukiwa na tamaa utafuta mno wenye kuwa na mguu wa mtoto mwisho ni mauti

vibamia vingine noma sana; yaani hata kakisimama unaweza kudhani ni kidole... halafu vingine dada akikohoa tu kanachoropoka... mtambo mzito una heshima yake bana, ukipita mtaani dadaz wanakunyooshea vidole na kukonyezana tu...
 
kina mama wana siri kubwa sana kwenye haka kamchezo.. ila wengi wanaotoka nje ya mahusiano ni kwa sababu ya mapungufu mawili muhimu.. kwanza ni uchumi na pili ni kina baba kukosa ubunifu..

Napenda kuwaasa kina baba. jamani acheni uvivu wahudumieni wake zenu kwa bidii.. kibamia wala mguu wa mtoto havina nafasi hata kidogo.. muhimu ni kumpeleleza mwenzio ujue wapi anapata raha ukiwa nae.. wengine ukiwashika mkono tayari wanatosheka. mwanamke ni chombo laini sana hakihitaji kushikwa kwa maguvu.
 
Back
Top Bottom