Uelewa wa watu kama nyie ndo unafanya elimu yetu inajadiliwaJiulize alisemaje kuhusu picha za CCTV?
Rudi kusikiliza alichoongea
Upinzani nyie ni mabomu yaliyojaa upupwu
U
Uelewa wa watu kama nyie ndo unafanya elimu yetu inajadiliwa
Kauli za Sirro;
Sirro alitumia nafasi hiyo kuwaonya watu mbalimbali waliotoa maoni yao kupitia mitandao ya kijamii wakipingana na maelezo aliyoyatoa jana.
- Amesisitiza, “Hii ni AK 47 ni salaha ya kivita na kuna uwezekano wametoka nayo kwao ili kuja kuwapa shida Watanzania.
- Amesema watekaji hao pia walijaribu kulichoma moto gari hilo lakini walishindwa na kuamua kulitelekeza.
CCM inapenda sana mazwazwa kama nyie.
tehe tehe teheSirro anatia huruma, nafikiri ana mengi ya kusimulia uzeeni
YakO wapi?"Wangechelewa tungewakamata,na kama nilivyosema kuwakamata kwangu kungekuwa kwa aina yake".IGP
Haya maswali yako kawauliza Leo bosi wao wamebaki wanatoa macho tu kama mijusi kafiri. Sijui yeye hakuona katazo la Sirro kuzuia watu kuchallenge tamko lake?Unahitaji kuwa na akili ya mwendawazimu kuamini anachosema Sirro. Wazungu, ambao ndio alisema walihusika, walikuja nchini na AK 47 kutoka kwao. Nadhani walizipitisha airport, au labda walikuja kwa mtumbwi.
Pia hao watu walijaribu kuchoma gari wakashindwa? Hilo gari linatumia mafuta ya maji?
Usimuamini Jiwe hata siku moja. Hapo anataka kutengeneza senema nyingine. Hao mamwela wanatiwa kiburi na huyohuyo Jiwe
Anataka tusahau kuhusu watu wasiojulikanaUsimuamini Jiwe hata siku moja. Hapo anataka kutengeneza senema nyingine. Hao mamwela wanatiwa kiburi na huyohuyo Jiwe