CDF Mabeyo, IGP Sirro na TISS DG Diwani watoa neno kwa maafisa wa Jeshi la polisi CCP Moshi!

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,840
141,766
Jenerali Mabeyo amelitaka jeshi la polisi kuhakikisha linatumia mbinu na weledi wa hali ya juu katika kupambana na uhalifu nchini.

Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa Diwani Athuman amewataka askari wa jeshi la polisi kudumisha nidhamu na uadilifu wanapotekeleza majukumu yao.

IGP Sirro ameshangazwa na kitendo cha afisa msomi wa jeshi la polisi aliyevuka mpaka na kuingia nchi ya Makawi kinyume cha sheria akifukuzia mali ya magendo isiyozidi sh 30,000 huku akiwa na silaha na gari ya jeshi la polisi.

Wakuu hao wa vyombo vya Ulinzi na Usalama wamesema hayo katika sherehe za kuwapandisha vyeo maafisa wa jeshi la polisi 2,030.

Source: ITV habari
 
Jenerali Mabeyo amelitaka jeshi la polisi kuhakikisha linatumia mbinu na weledi wa hali ya juu katika kupambana na uhalifu nchini.

Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa Diwani Athuman amewataka askari wa jeshi la polisi kudumisha nidhamu na uadilifu wanapotekeleza majukumu yao.

IGP Sirro ameshangazwa na kitendo cha afisa msomi wa jeshi la polisi aliyevuka mpaka na kuingia nchi ya Makawi kinyume cha sheria akifukuzia mali ya magendo isiyozidi sh 30,000 huku akiwa na silaha na gari ya jeshi la polisi.

Wakuu hao wa vyombo vya Ulinzi na Usalama wamesema hayo katika sherehe za kuwapandisha vyeo maafisa wa jeshi la polisi 2,030.

Source: ITV habari
😍
 
Sasa dah, kwa hiyo CDF kawaambia polisi akiwemo IGP?

Je, IGP kawaasa polisi isipokuwa yeye IGP?

DG TISS kawaambia polisi wote isipokuwa wale walio TISS officers?

Ni nani kaanza kuzungumza Kati ya IGP, CDF na DG TISS?
 
Jenerali Mabeyo amelitaka jeshi la polisi kuhakikisha linatumia mbinu na weledi wa hali ya juu katika kupambana na uhalifu nchini.

Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa Diwani Athuman amewataka askari wa jeshi la polisi kudumisha nidhamu na uadilifu wanapotekeleza majukumu yao.

IGP Sirro ameshangazwa na kitendo cha afisa msomi wa jeshi la polisi aliyevuka mpaka na kuingia nchi ya Makawi kinyume cha sheria akifukuzia mali ya magendo isiyozidi sh 30,000 huku akiwa na silaha na gari ya jeshi la polisi.

Wakuu hao wa vyombo vya Ulinzi na Usalama wamesema hayo katika sherehe za kuwapandisha vyeo maafisa wa jeshi la polisi 2,030.

Source: ITV habari
Kunani makamanda wakuu majeshi yote matatu kukutana Moshi?
Siyo bure!
 
Wakitaka Jeshi letu la Polisi lifanye vizuri basi wajitahidi sana wafanye recruitment za watu wenye ueledi pia, hii ya kuajiri watu ambao ni none proffesional na kuwaacha wenye sifa kwa kigezo cha wao kuwa wasomi kunalirudisha nyuma mno jeshi letu la polisi, sio kwenye jeshi la polisi tu hii iwe kwa majeshi yote na usalama wa Taifa.

Mataifa mengine yamepiga hatua sana kwenye Majeshi yao kwa kuajiri watu wenye sifa mbadala na si zoa zoa kama ambavyo wanafanya majeshi yetu ya ulinzi na usalama.
 
Combination safi. Ni jambo jema kukutana ili kufanya kazi kwa pamoja. Hata Rais, Speaker na Jaji Mkuu wangekutana na kufanya mazungumzo muhimu ya pamoja kama vile mabadiliko ya sheria mbali mbali.
 
Back
Top Bottom