Kutekwa kwa Mdude kumebadilisha cho chote?

Kutekwa kwa Mdude kumebadilisha cho chote?

GoldDhahabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2023
Posts
7,648
Reaction score
10,845
Naamini Mdude hakutekwa na "vibaka" wa mtaani! Siyo watu waliokuwa na bifu naye binafsi.

Hisia zangu zinanielekeza kuwa waliomteka huenda walifanya hivyo kwa maelekezo ya wakubwa waliowatuma. Alitekwa ili watu waogope kuongea?
Utekaji huo umewanufaisha watekaji? Mbona kama ndiyo wamezidi kuharibu?

Ona!
1. Watu wanaoikosoa Serikali wameendelea kuongezeka. Mpaka wana CCM na wao sasa wanaoikosoa Serikali yao

2. Ukosoaji umevuka mipaka. Sasa wapo mpaka nchi jirani wakiikosoa Serikali ya Tanzania kwa ukali kuzidi Watanzania

3. Imeichafua nchi Kimataifa!

Au lengo lao lilikuwa lipi hasa?
 
Naamini Mdude hakutekwa na "vibaka" wa mtaani! Siyo watu waliokuwa na bifu naye binafsi.

Hisia zangu zinanielekeza kuwa waliomteka huenda walifanya hivyo kwa maelekezo ya wakubwa waliowatuma. Alitekwa ili watu waogope kuongea?
Utekaji huo umewanufaisha watekaji? Mbona kama ndiyo wamezidi kuharibu?

Ona!
1. Watu wanaoikosoa Serikali wameendelea kuongezeka. Mpaka wana CCM na wao sasa wanaoikosoa Serikali yao

2. Ukosoaji umevuka mipaka. Sasa wapo mpaka nchi jirani wakiikosoa Serikali ya Tanzania kwa ukali kuzidi Watanzania

3. Imeichafua nchi Kimataifa!

Au lengo lao lilikuwa lipi hasa?
20250525_161354.jpg
 
Wanaogopa mtu Hana panga Hana kisu Wala jeshi Wala tishio au jamaa mbona waoga sana.
Huwezi wasilence watu mawe yataongea
 
Back
Top Bottom