Kumekuwa na ongezeko la Watanzania (watoto hadi watu wazima) wanaotazama pornographs pengine kutokana kwa ukuaji wa teknolojia na matumizi yake. Lakini, pengine kutokana na kuwa hii sio utamaduni wetu, watu wengi hutazama kwa siri ama na wapenzi/wake/waume zao au wenyewe ingawa kutazama katika makundi ya watu pia ipo (hasa mashuleni na vyuoni).
Ukiachilia mbali hasara zake ambazo ziko dhahiri, baadhi ya watu wanaamini kuwa ipo faida na kubwa zaidi kuwa filamu za pono zinaongeza ujuzi wa "vionjo" katika tendo la ngono hivyo zimesababisha ongezeko la utamu wa ngono (kwa asilimia fulani ya wahusika) katika jamii yetu...
Pamoja na hasara zake na kuchukuliwa kuwa ni dhambi na baadhi ya waaminio na (pengine) kinyume cha maadili, binafsi nadhani utazamaji wa pono utaongezeka miongoni mwa wanajamii yetu, at least kwa miaka kadhaa ijayo hasa kwa kutazama trend za wakati huu.
Je, pamoja ha hasara zake, unaunga mkono kuwa ipo faida vilevile? Kama ndio, unawashaurije watu katika hili? Kama sio, unadhani kwa nini filam hizi zinazidi kuwa popular, na nini kinaweza kufanyika kuzizuia?
Ukiachilia mbali hasara zake ambazo ziko dhahiri, baadhi ya watu wanaamini kuwa ipo faida na kubwa zaidi kuwa filamu za pono zinaongeza ujuzi wa "vionjo" katika tendo la ngono hivyo zimesababisha ongezeko la utamu wa ngono (kwa asilimia fulani ya wahusika) katika jamii yetu...
Pamoja na hasara zake na kuchukuliwa kuwa ni dhambi na baadhi ya waaminio na (pengine) kinyume cha maadili, binafsi nadhani utazamaji wa pono utaongezeka miongoni mwa wanajamii yetu, at least kwa miaka kadhaa ijayo hasa kwa kutazama trend za wakati huu.
Je, pamoja ha hasara zake, unaunga mkono kuwa ipo faida vilevile? Kama ndio, unawashaurije watu katika hili? Kama sio, unadhani kwa nini filam hizi zinazidi kuwa popular, na nini kinaweza kufanyika kuzizuia?