Kutangaza na Jamii Forums

Psiteshio72

JF-Expert Member
Joined
Nov 13, 2016
Posts
634
Reaction score
442
Habari zenu JF expert members.

Nahitaji kujua kutangaza na Jamii Forums gharama zake (kama ni Admin/mod inbox Kwa maelezo zaidi) na wewe mwingine share ujuzi wako kuhusu kutangaza na Jamii Forums.

Asante
 
Nipo Huku Omurushaka Ngoja Nami Nipate Jibu Hapa Hapa
 
Hello,

Matangazo on JamiiForums ni TZS 1 kwa kila tangazo linapoonekana (a single view). Unaamua unatumia bajeti kiasi gani na kwa muda gani.

ILANI: Matangazo yanayohusiana na KUTOA MIMBA, BETTING na ANY ILLEGAL ACTIVITY kidogo yana changamoto kuyaweka JF.

Karibuni sana
 
Ahsante kwa muongozo
 
Nikiwa na tangazo na nitumie njia gani kuleta tangazo.Na litakaa upande gani.
 
Kwa nini umeanza na kutoa mimba na si mfano mwingine?
 
Ila Matangazo ya Betting yana hela sana jitahidini Muyaweke hata hivyo kubet si dhambi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…