Aisee tuwekee picha yake live baada ya kukutana nayeShida ni kwamba picha ilivyotoka na yeye mwenyewe ukikutana nae kwa mtaa hatishi hivyo.....nilivyomuona kwa picha moyo ulinienda mbio kweli lkn kukutana nae kitaa sikuamini kama ni yeye kweli....au ndio mchina ameanza ku-expire?
hawa si tuliambiwa walikuwa loliondo kwa babu tayari wameanza tabia mbaya
hilo nalo neno paja lenyewe mabaka kibao
Starehe za wenye fueeeeza, wakimaliza kula wanatema kama ganda la muwa, wa hivi hawaolewagi kwani hakuna mwanaume mwenye kutaka pressure za ghafla ghafla! Mkuu hajaona hapa?
Mabinti kama hawa kuwa nao ni kujitafutia kifo cha mapema! Maana huyu lazima kwa uchache anatembea na mapedejee 20!