Ndumbayeye
JF-Expert Member
- Jan 31, 2009
- 7,333
- 3,896
amenivutia
Starehe za wenye fueeeeza, wakimaliza kula wanatema kama ganda la muwa, wa hivi hawaolewagi kwani hakuna mwanaume mwenye kutaka pressure za ghafla ghafla! Mkuu hajaona hapa?
True..Pedejee Ndama wapi?Umeona hicho kitu!!!!Mabinti kama hawa kuwa nao ni kujitafutia kifo cha mapema! Maana huyu lazima kwa uchache anatembea na mapedejee 20!
ukikaaa nae miaka mitano kwa uvumilivu wote, kapime hosipitali utakutwa na magonjwa yote,kisukari, vidonda vya tumbo,pressure mpaka nakadhalika itakuwepoTrue..Pedejee Ndama wapi?Umeona hicho kitu!!!!
WHY THINKING OTHERS IN A NEGATIVE WAY! Kwani kuwa mzuri lazima utoke na mapedesheee?Mabinti kama hawa kuwa nao ni kujitafutia kifo cha mapema! Maana huyu lazima kwa uchache anatembea na mapedejee 20!
U mean "She is a hole"She-hole?
You saw it right right. She's called Zena Mohamed Yussuf a.k.a 'Shilole' , a new face in Tanzanian film industry. Hot,sexy and alluring....With Irene Uwoya expecting, she and Jack Wholper are the hittest in Bongo film industry at least for now...
Shilole
Jaqcline Wholper
Mkuu El Toro, wamekulipa kiasi gani mpaka umewaleta hapa kuuza sura? Nadhani wameona LULU KANUMBA anazidi kuwafunika kijelajela. Sijawahi hata kuwasikia, au kwasababu sina muda wa kuangalia the so called "BONGO MUVIZ"
You saw it right right. She's called Zena Mohamed Yussuf a.k.a 'Shilole' , a new face in Tanzanian film industry. Hot,sexy and alluring....With Irene Uwoya expecting, she and Jack Wholper are the hittest in Bongo film industry at least for now...
Shilole
Jaqcline Wholper