Ukumbuke unamzungumzia Mbunge wa Bunge la Tanzania sio MCAm
Kiongozi kama umeshawahi kufanya presentation huwezi kushangaa kitu kama hiki, Kuna wakati neno linapotea kabisa kichwani haijalishi unalijua au una uzoefu nalo kiasi Gani.
Kwangu mim naona ni Jambo la kawaida tu
Daaaaa! Hii nchi itakuja kuendelea kweli? Huyu naye ni mtunga sheria etiHawa Wabunge wenu huwa hawana uwezo, tukisema tunaambiwa tuna kashfu. Sasa angalia huyu Mama, sijui Mbunge wa Wapi huko, hajui CT SCAN anasema T scan, akili yake yote ameilekeza kumsifia Samia..... yaani ameweka kando akili yake ame-concetrate kwenye uchawa! Huyu ni Mzazi wa MTU na Mbunge wa Watu, natamani kufahamu Jimbo lake.
View attachment 2983039
🇹🇿Only in Tanzania
Kam wanaweza kutumia fursa ya ujinga wetu utawaitaje hawana akili!?Asilimia 90 ya wabunge wa CCM hawana akili, wanatumia ujinga na upumbavu wa watanzania kuingia Bungeni.
Mfano mkubwa ni Mke wa Mstaafu
Kwani yeye sio binadam, ana utofauti Gani namim au wewe?Ukumbuke unamzungumzia Mbunge wa Bunge la Tanzania sio MC
kawaida ya vilaza suguHalafu wabishi wabishi hivi
kwamba lazima ajue vifaa vya kitabibu na angali yeye si tabibu.Hawa Wabunge wenu huwa hawana uwezo, tukisema tunaambiwa tuna kashfu. Sasa angalia huyu Mama, sijui Mbunge wa Wapi huko, hajui CT SCAN anasema T scan, akili yake yote ameilekeza kumsifia Samia..... yaani ameweka kando akili yake ame-concetrate kwenye uchawa! Huyu ni Mzazi wa MTU na Mbunge wa Watu, natamani kufahamu Jimbo lake.
View attachment 2983039
Sawakwamba lazima ajue vifaa vya kitabibu na angali yeye si tabibu.
kujua jambo tena la kitabibu ni Lazima upate mafunzo, uende shule kidogo, ila kulifahamu jambo sio vibaya, lakini sio lazima 🐒
ni muhimu zaidi akafahamu majukumu na wajibu wake katika bunge, hiyo ni muhimu zaidi. Hata hivyo bunge limejaa wataalamu wa kila aina hata akikosea kutamka lakini akaeleweka anachokusudia kusema atasaidika vizuri sana na ataskizwa tu 🐒
ifike mahali tuepuke kujipa umuhimu zaidi ya binadamu, kwamba sisi we know each and everything.. ni uongo wa wazi 🐒
Kiwango cha juu cha ufaulu CCM Ili ulingie Bungeni ni ujue Mapenzi basiHawa Wabunge wenu huwa hawana uwezo, tukisema tunaambiwa tuna kashfu. Sasa angalia huyu Mama, sijui Mbunge wa Wapi huko, hajui CT SCAN anasema T scan, akili yake yote ameilekeza kumsifia Samia..... yaani ameweka kando akili yake ame-concetrate kwenye uchawa! Huyu ni Mzazi wa MTU na Mbunge wa Watu, natamani kufahamu Jimbo lake.
View attachment 2983039
Wabunge wa CCM ni mapoyoyo sana aisee. Yanasifia ujinga hadi akili zinakuwa kama ma vi.Hawa Wabunge wenu huwa hawana uwezo, tukisema tunaambiwa tuna kashfu. Sasa angalia huyu Mama, sijui Mbunge wa Wapi huko, hajui CT SCAN anasema T scan, akili yake yote ameilekeza kumsifia Samia..... yaani ameweka kando akili yake ame-concetrate kwenye uchawa! Huyu ni Mzazi wa MTU na Mbunge wa Watu, natamani kufahamu Jimbo lake.
View attachment 2983039
Kama huyu hapa atakuwa kit0mb0 cha mafisadiKiwango cha juu cha ufaulu CCM Ili ulingie Bungeni ni ujue Mapenzi basi.
Hakuna anayetaka huyo mbunge aijue CT SCAN kama wanavyoijua madaktari ila yeye kajipa kazi ya kusifia kitu tena mbele ya bunge akiwa kama mbunge ilikuwa ni vyema kuwa makini na anayoyasema na kutamka.kwamba lazima ajue vifaa vya kitabibu na angali yeye si tabibu.
kujua jambo tena la kitabibu ni Lazima upate mafunzo, uende shule kidogo, ila kulifahamu jambo sio vibaya, lakini sio lazima 🐒
ni muhimu zaidi akafahamu majukumu na wajibu wake katika bunge, hiyo ni muhimu zaidi. Hata hivyo bunge limejaa wataalamu wa kila aina hata akikosea kutamka lakini akaeleweka anachokusudia kusema atasaidika vizuri sana na ataskizwa tu 🐒
ifike mahali tuepuke kujipa umuhimu zaidi ya binadamu, kwamba sisi we know each and everything.. ni uongo wa wazi 🐒