Kutana na fundi mahiri wa ujenzi wa nyumba

IMG_20180921_083224_430.jpg
 
Mkuu naomba gharama zako za ujenzi.

Nina site nishajenga foundation nataka kunyanyua kdgo kdgo.

Hivi sasa nina tofali 400.
Utajenga kwa shs ngap??
Site location: mbagala kisewe
Tambarare
 
Kwema mkuu naomba kuuliza maswali mawili!!kwanza nyumba ya vyumba v3 jiko sebule na master na choo cha public foundation yke inaweza nikost kama sh ngapi Kiwanja ni tambalale kiko kigamboni kisarawe 2.Pili kama Kiwanja kiko eneo linaonekana linatuamisha jpo hakuna mkondo Wa Maji unaopita kuna usalama katika ujenzi nikimaanisha kuna kitu unaweza kufanya ili kusiwe na shida hapo baadae..pia naomba kujua kibali cha ujenzi kinahitaji sh ngapi..!
 
Kwema mkuu naomba kuuliza maswali mawili!!kwanza nyumba ya vyumba v3 jiko sebule na master na choo cha public foundation yke inaweza nikost kama sh ngapi Kiwanja ni tambalale kiko kigamboni kisarawe 2.Pili kama Kiwanja kiko eneo linaonekana linatuamisha jpo hakuna mkondo Wa Maji unaopita kuna usalama katika ujenzi nikimaanisha kuna kitu unaweza kufanya ili kusiwe na shida hapo baadae..pia naomba kujua kibali cha ujenzi kinahitaji sh ngapi..!
. Kama eneo ndio hilo linalotuamisha Maji unahitaji kujaza kifusi kwanza. Gharama ya msingi bila ya kifusi kwa mazingira hayo si chini ya 6mil.
 
Kwema mkuu naomba kuuliza maswali mawili!!kwanza nyumba ya vyumba v3 jiko sebule na master na choo cha public foundation yke inaweza nikost kama sh ngapi Kiwanja ni tambalale kiko kigamboni kisarawe 2.Pili kama Kiwanja kiko eneo linaonekana linatuamisha jpo hakuna mkondo Wa Maji unaopita kuna usalama katika ujenzi nikimaanisha kuna kitu unaweza kufanya ili kusiwe na shida hapo baadae..pia naomba kujua kibali cha ujenzi kinahitaji sh ngapi..!
Kuhusu kibali cha ujenzi.
Kama eneo lako lina hati nenda wilayani kitengo cha engineering ukiwa na ramani,hati miliki na site plan. Ila kama hayo maeneo hayajapimwa hakuna kibali . we jenga tu
 
Kuhusu kibali cha ujenzi.
Kama eneo lako lina hati nenda wilayani kitengo cha engineering ukiwa na ramani,hati miliki na site plan. Ila kama hayo maeneo hayajapimwa hakuna kibali . we jenga tu
Nashukuru mkuu tutaendelea kuwasiliana..
 
Picha unazipigia mbali vipi hujaijenga wewe Nini maana fundi mwenyew ulitakiwa uipige karbu ili tuone vzur sasa wewe fund unaipiga picha kiuwizi wizi
Haya
 

Attachments

  • IMG_20181002_214000_783.jpg
    IMG_20181002_214000_783.jpg
    372.7 KB · Views: 210
  • IMG_20180907_190816_749.jpg
    IMG_20180907_190816_749.jpg
    290.4 KB · Views: 186

Similar Discussions

Back
Top Bottom