Fundi mahiri wa ujenzi
JF-Expert Member
- Dec 10, 2012
- 3,953
- 2,438
- Thread starter
- #21
0655173113Nitumie namba unayotumia whatsapp
0655173113Nitumie namba unayotumia whatsapp
0655173113Mkuu, natafuta sana mtu wa landscaping waonekana uko fit.
Mkuu gharama inategemeana na ukubwa wa kaziGharama zipoje?
Ni Fundi ujenzi mahiri wa majengo ya kuishi, majengo ya biashara na majengo ya ibada.
Kazi inafanywa kwa ubora wa viwango vya juu.
Gharama zangu ni ndogo kulingana na uchumi wa mtanzania.
Pia nafanya marekebisho ya Nyumba zenye muonekano wa kizamani kuwa na muonekano wa kileo/kisasa.
Kazi zinakamilika kwa wakati kwa mujibu wa makubaliano.
Mfano.
Nyumba ya kawaida itakamilika kwa mda wa
20 days kwa structure na 20 days za finishing.
Napatikana Dar es salaam. Pia unaweza kunipata Instagram kama 'FUNDI MAHIRI WA UJENZI'
Mawasiliano.
0655173113
0693179844
Whatsap 0655173113
Barua pepe:
pmoses951@gmail.com
Hahaha Id yakoWeka picha za nyumba ulizokwisha jenga ama kurekebisha tuone umahiri wako.
Hahaha Id yako
Kama hujaziona basi wewe jamaa ni mbishiHatuongelei ID yangu, tunazungumzia nyumba ulizokwisha jenga ama kukarabati na ID yangu has nothing to do with it.
Tumia za spainMkuu naomba kuuliza, ni tiles gani bora kati ya zile za india na hizi za china?. Kwa utaalam wako unamshauri mtu kutumia za wapi?
Mkuu hizi naona bei yake sio mchezo. Ni kwa ajili ya vyooni natakaTumia za spain
Kama mchapa kazi karibuSorry mkuu naweza kupata kazi ya kibarua kwenye ujenzi wako